• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAJI

Huduma ya Maji – Vijijini

Mkoa wa Geita una jumla ya vijiji 486 ambapo kati ya hivyo vijiji 354 vimefikiwa na huduma ya maji safi na salama ambapo hupatikanaji wa maji ni lita za ujazo 32,040,705 kwa siku kwa wakazi wanaokadiriwa kufikia 1,408,006 sawa na asilimia 66% ya mahitaji ya lita za ujazo 53,401,175 kwa wakazi wanaokadiriwa 2,136,047 upatikanaji wa maji vijijini. Aidha vijiji 132 bado havijafikiwa na huduma hiyo. upatikanaji wa maji huo umetokana na miradi ya maji ya skimu ya bomba (44), visima virefu vilivyofungwa pampu za mkono (362), visima vifupi vilivyofunga pampu za mkono (794) kwa wa kazi wote wanaoishi vijijini.

Uboreshaji wa Huduma ya Maji Safi na Salama Vijijini.

Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini ni wastani wa asilimia 53%. Aidha, miradi mbalimbali ya maji inaendelea kutekelezwa kwa lengo la uboreshaji wa upatikanaji wa huduma za maji vijijini ili kuhakikisha huduma ya maji safi na salama inapatikana na kukidhi malengo yaliyowekwa ya kufikia asilimia 85 ifikapo 2025.

Usimamizi na Uendelezaji wa Miradi ya Maji

Katika suala zima la usimamizi na uendelezaji wa miradi ya maji, Mkoa wa Geita umeendelea na zoezi la Umarishaji na uhuishaji wa Jumuiya za Usimamizi wa huduma za maji ngazi ya jamii (Community Based Water Supply Organization - CBWSOs) kwa mujibu wa Sheria mpya na. 05 ya mwaka, 2019. Hadi kufikia Desemba, 2021 jumla ya CBWSOs 57 zimeundwa kwenye maeneo ya miradi ya maji katika Wilaya tano (5) za Mkoa wa Geita ili ziweze kusimamia miradi hii kwenye maeneo ya

 

 Huduma ya Maji – Mjini

 Mahitaji ya huduma ya maji kwa wa kazi waishio katika miji ya Mkoa wa Geita ambayo ni Geita Mjini, Ushirombo na Chato ni wastani wa lita za ujazo 25,086,180 kwa siku kwa wakazi wanaokadiriwa kufikia 358,374 wanaoishi maeneo ya mijini, hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa sasa ni wastani wa lita 16,306,017 kwa siku sawa na 69% ya mahitaji ya maji, ikiwa ni wastani waongezeko la asilimia saba (7%) kutoka Desemba, 2021

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA NA ELIMU April 12, 2023
  • KARIBU UPATE FOMU YA USHIRIKI KWENYE MAOENSHO YA TANO YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2022 September 11, 2022
  • THE 5TH TANZANIA MINERALS TRADE FAIR (TMTF) PARTICIPATION FORM September 12, 2022
  • WALIOCHAGULIWA MAFUNZO YA KILIMO KUPITIA PROGRAMU YA BBT-YIA FEBRUARI, 2023 March 16, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mafunzo Kazini Yasisitizwa kwa Waajiri Geita

    May 01, 2023
  • Miaka 59 ya Muungano, 80 Nyakagwe Wapata Bweni la Wasichana

    April 28, 2023
  • BUCREEF Yatoa CSR ya Milioni 420 Wilayani Geita

    April 28, 2023
  • m-mama Yatambulishwa Geita.

    April 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mwaliko Jukwaa la Fursa za Biashara Mkoani Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa