• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bonana la Watumishi Linadumisha Afya ya Akili na Kujenga Ushirikiano- Gombati

Posted on: July 28th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg.Mohamed Gombati amesema kuwa Bonanza la watumishi hufanyika kwa lengo la kuwakutanisha watumishi kutoka taasisi mbalimbali na Kudumisha Afya ya akili sambamba na kujenga ushirikiano imara Mkoani Geita.

Akizungumza na wanamichezo kutoka Taasisi mbalimbali za Umma Katika Viwanja Vya Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu Tarehe 26Julai 2025 Ndg.Mohamed Gombati, amesema Mabonanza ya watumishi yanaongeza mshikamono,urafiki na ushirikiano na kudumisha afya ya akili kwa watumishi na kutoa huduma iliyobora kwa wananchi.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita amewasisitiza watumishi wa umma kufanya mazoezi na kushirikiana na jeshi la polisi pamoja na Geita jogging Club kuhudhuria mazoezi ya mbio za taratibu(jogging) kila jumamosi Geita Mjini.

Ndg.Mohamed Gombati amezipongeza Taasisi zilizoshinda Michezo mbalimbali ikiwemo urushaji wa tufe,mchezo wa bao, mchezo wa mpira wa miguu,kuvuta kamba,kucheza mziki,mchezo wa kula,urushaji wa mkuki kwa kutoa medali na vikombe kwa washindi wote.

Aidha ameongeza kuwa Bonanza la mwisho wa mwaka litafanyika mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili na Amesisitiza taasisi zote ziendelee kufanya maandalizi ya Bonanza hilo kubwa.

Kwa upande wa washindi, mshindi wa mchezo wa wavu ni timu ya Manispaa ya Geita,mshindi wa kikapu ni Halmashauri ya Wilaya ya Geita, kuvuta kamba mshindi ni timu ya Geita-Rs ya wanawake,mshindi wa kamba wanaume ni taasisi ya Tume ya madini,Mshindi wa Mpira wa mpira wa miguu ni Halmashauri ya Wilaya ya Chato, na Mshindi wa jumla ni halmashauri ya wilaya ya Geita.

Bonanza la watumishi linaongozwa na kauli mbiu isemayo "Michezo kwa Watumishi Afya Bora Ushirikiano thabiti,Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025".

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Bonana la Watumishi Linadumisha Afya ya Akili na Kujenga Ushirikiano- Gombati

    July 28, 2025
  • Mkoa wa Geita Wapokea Zaidi ya Trilioni 1.4 za Miradi ya Maendeleo

    July 24, 2025
  • RC Shigela Awahamasisha Walimu Kutumia Benki ya NMB

    July 14, 2025
  • Dkt. Kijaji Azindua Chanjo ya Mifugo na Uvikwaji Hereni Kwa Ng'ombe Geita

    July 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa