• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC Geita Azindua Rasmi Maonesho ya Nanenane 2025

Posted on: August 5th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Hashim Komba amezindua rasmi Maonesho ya saba ya Siku ya wakulima Duniani ( Nanenane) Kanda ya ziwa magharibi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela.

Akizindua Maonesho hayo Mhe. Komba amewahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kufika katika maonesho hayo ili kuona na kujifunza maboresho yenye ubunifu mkubwa wa uzalishaji katika sekta za kilimo, ufugaji na uvuvi.

“Wananchi tembeleeni mabanda yote ambayo yanajihusisha na sekta za kilimo, mifugo na uvuvi ili mpate ujuzi, maarifa na teknolojia iliyoboreshwa, ukuaji wa teknolojia utawawezesha wananchi kufanya shughuli zenye tija katika sekta wanazofanyia kazi na kukuza uchumi na uzalishaji.” Aliongeza Mhe. Hashim Komba.


Aidha Mhe.Komba amewataka wananchi kujifunza kilimo cha eneo dogo chenye tija huku akiwasihi kujipanga na kuchukua mikopo yenye tija kutoka taasisi mbalimbali za kifedha zinazoshiriki ili kukuza vipato vyao katika shughuli wanazojighulisha nazo.

Sambamba na hayo  Mkuu wa Wilaya ya Geita amegusia kauli mbiu ya Maonesho hayo isemayo “Chagua viongozi bora kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi 2025” kwa kutoa Rai kwa wananchi kujiandaa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29 ,2025  huku akitaja sifa za kiongozi bora kuwa ni mwenye kujua ubunifu mkubwa wa kugusa maisha ya watu wengi.

Mhe. Komba ametoa rai kwa mamlaka za Serikali za Mitaa kuona umuhimu wa kutumia vyema mikopo inayotolewa na Halmashauri kutoa kipaumbele cha kuwapatia mikopo vikundi vinavyojishughulisha na sekta za uzalishaji kwa sababu Zaidi ya asilimia 70 sekta hizo zimetoa ajira kwa wananchi. Pia Taasisi za kifedha toeni mikopo yenye riba nafuu kwa wananchi wanaotafuta uwezeshwaji katika kuendeleza na kuzalisha Zaidi katika sekta hizo.

Mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe CDE.Christopher E.Ngubiagai amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha na kuendelea kuwekeza katika sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi ikiwa sehemu ya kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi

Akisoma taarifa ya maonesho hayo Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Mwanza Ndg. Peter Kasele amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la washiriki kila mwaka hali inayoonyesha utayari wa watu katika kujifunza na kupokea vitu vipya.

Maonesho ya wakulima nane nane kanda ya ziwa magharibi yanahusisha mikoa miwili ya Mwanza na Geita.

Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Zaidi ya Vijana Zaidi ya 12,000 Kujikwamua Kiuchumi Kupitia EACOP

    August 19, 2025
  • GESECO Kinara Mtihani wa Mock Kidato cha NNne Kanda ya Ziwa

    August 19, 2025
  • Serikali Yatoa Zaidi ya Bilioni 40 Kujenga Miundombinu ya Umwagiliaji Geita& Mwanza

    August 12, 2025
  • UZINDUZI WA DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KATIKA MANISPAA YA GEITA

    August 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa