• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

GGML Yaendelea Kung'ara Utekelezaji Miradi ya CSR Geita Mji

Posted on: April 23rd, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Gabriel Ameupongeza Mgodi wa Dhahabu Geita GGML kutokana utekelezaji mzuri wa miradi ndani ya Halmashauri ya mji geita kupitia fedha za wajibu wa kampuni kwa jamii yaani CSR.

Ametoa pongezi hizo Aprili 23, 2021 wakati wa ziara yake kwenye miradi ya elimu na afya katika Halmashauri ya mji geita ikiwa ni Halmashauri ya Mwisho kutembelewa katika ziara iliyohusisha majimbo yote ya Geita ndani ya wilaya 5.

Amesema, " niwapongeze GGML kwa jinsi mnavyoshirikiana na serikali pamoja na wanachi katika kutekeleza miradi mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa Shule ya Sekondari Mkalanga kwa asilimia 100, hongereni sana. Vilevile, nipongeze uongozi wote kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya, CCM, Diwani, Mkurugenzi mpaka mtaa kwa hatua za utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwemo ujenzi wa zahanati, shule, mabweni, vyoo pamoja na nyumba za watumishi"

Aidha, mhandisi Gabriel ameendelea kusisitiza juu ya kutokomeza madaraja 0 na IV kwa kidato cha nne na kukemea utoro wa jumla na rejareja huku akiwaasa wanafunzi kusoma kwa bidii, akihimiza walimu wa kujitolea kupata bima ya afya pamoja na kuwataka viongozi kuwa wa kuchukua maamuzi ili utekelezaji wa miradi usilale.

Katika hatua nyingine Bw. Moses Rusasa kwaniaba ya Mgodi wa GGML amefurahishwa na hatua za mradi wa Shule ya Sekondari Mkalanga pamoja na miradi mingine, lakini pia ameishukuru serikali na wananchi kwa ushirikiano wanaoutoa katika kufanikisha utelelezaji wa miradi mbalimbali chini ya fedha za CSR kisha kuahidi kuyafanyia kazi mapungufu ya baadhi ya vifaa kwa baadhi ya maeneo akikiri kuwa hali hiyo hutokea kulingana na uwingi wa maeneo wanayoyasambazia vifaa hivyo vya ujenzi.

Kazi bado inaendelea, endelea kufuatilia ili kupata taarifa zaidi.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa