• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Maonesho ya tatu ya Madini yafungwa Rasmi

Posted on: October 1st, 2020

Septemba 27, 2020 Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe. Angela Kairuki afunga Rasmi maonesho ya tatu ya Madini Mkoani Geita.

Akifunga maonesho hayo, Waziri Kairuki amewapongeza Wachimbaji wadogo kwa kulipa kodi zinazohusiana na Madini kwa hiari na kufuata taratibu na sheria za Madini Nchini.

Aidha, Waziri kairuki amesema kwa uungwana nuzalendo mkubwa wa wachimbaji kwa Serikali wameifanya sekta ya madini kuchangia pato la Taifa kwa asilimia 5.2 kwa sasa tofauti na asilimia 3.4 za mwaka 2015.

Akitoa salamu za Wizara ya Madini Mhe. Doto Biteko (MB), Wazri wa Madini amesema Serikali imeendelea kutekeleza mipango ya kuwawezesha wachimbaji waweze kufanya shughuli zao kwa Uhuru ili ziweze kuwaletea tija.

Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Geita alifafanua kuwa asili ya maonesho ya tatu ya madini 2020 ni mwaka 2018 baada ya kuanza kwa maonesho ya madini ya kwanza yaliyochochewa na mabadiliko ya sheria ya madini mwaka 2017.

Awali, Mhe. David Azaria kwa niaba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi amempongeza Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa kazi kubwa ya kuuletea maendeleo Mkoa wa Geita huku akisema ameonesha kuwa nia ya dhati ya kutekeleza yaliyomo kwenye ilani ya Chama hicho ya mwaka 2015/20

“Hongereni sana Mabenki na Taasisi zinginge za Fedha kwa kutoa mikopo kwa wachimbaji wa madini kwani hiyo ni hatua kubwa sana kwenye sekta ya madini”. Amesema Mhe. Stansilaus Nyongo Naibu Waziri wa Madini.

Mhe. Costantine Kanyasu Naibu waziri wa Maliasili na Utalii ametoa pongezi kwa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kwa kufuata matakwa ya sheria ya Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii ya mwaka 2017 ambapo sasa Mji wa Geita unakua kwa kasi kwa utekelezaji wa Miradi chini ya Mpango huo.

Naye, Mjumbe wa Kamati ya Madini wa muda mrefu na Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi jimbo la Geita Vijijini Mhe. Joseph Kasheku Musukuma amewataka wizara ya Madini kuendelea kuweka mazingir rafiki kjwa wachimbaji wadogo wa madini kwa kuwaondolea tozo zinazojirudia.

Wakitoa salamu za Mikoa yao kwenye Hafla hiyo wakuu wa Mikoa ya Tabora na Mara wamemppongeza sana Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Geita kwa ubunifu mkubwa unaopelekea kuipaisha Geita kimaendeleo.

“tunaipongeza sana Serikali kwa kuifanya Sekta hiikukua kwa kasi na kuifanya kuwa na Mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi.” Amesema Rais wa Wachimbaji wa Madini nhini Ndugu John Bina.

Akitambulisha Wageni Ndugu. Denis Bandisa alifafanua kuwa maonesho ya madini ya mwaka 2020yamewakutanisha wajasiriamali, wachimbaji na makampuni mbalimbali waliokuja kuonesha Teknolojia rahisi za uchimbaji nauchenjuaji wa madini.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa