• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mbogwe Yapongezwa Utekelezaji Afua za Lishe 2022/2023

Posted on: July 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa Geita Mhe.Martine Shigela amekemea tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali mkoani hapa kuchelea kutekeleza maagizo ya viongozi hususan wale wa Kitaifa kisha kuipongeza Halmashauri ya Wilaya Mbogwe kwa ufanisi katika kutekeleza afua zote za Lishe kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Alieleza hayo wakati akifungua kikao cha Lishe cha robo ya nne kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kilichofanyika Julai 20, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa na kuwataka watendaji kuwajibika ipasavyo na kutekeleza maagizo ya viongozi bila kusita.

“Suala la Lishe ni kipaumbele cha Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ni muhimu sana na ndiyo maana kila mikutano ninayoifanya nimekuwa nikiwakumbusha, hivyo niwapongeze Mbogwe kwa kutekeleza vizuri Afua zote za lishe na kupata alama nzuri”, alisema RC Shigela.

Aliongeza kuwa, “ni vyema watendaji nanyi mtambue maagizo ya kiongozi wetu mkuu wa kitaifa hayajadiliwi, ni utekelezaji tu, hivyo kwakuwa tunaanza mwaka mpya, nendeni mkatekeleze”.

Kwa upande wake Katibu tawala mkoa Geita Prof.Godius Kahyarara alisema, miongoni mwa malengo ya kikao hicho ni kukumbushana jukumu kubwa ambalo mkoa ulikabidhiwa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan la kusimamia masuala ya lishe kupitia mkataba uliosainiwa, hivyo kila mmoja atambue vyema majukumu yake na kwamba kikao hicho kitumike kujitathmini na kutoa mawazo mapya ya namna ya kutekeleza afua za lishe kwa ukamilifu.

Awali akitoa taarifa ya hali ya utekelezaji, mganga mkuu mkoa geita Dkt.Omari Sukari alianza kwa kumpongeza RC Shigela kufuatia usimamizi na ufuatiliaji mzuri wa afua za lishe kama ilivyoainishwa kwenye mkataba. Pia alisema, “pamoja na kufanya vizuri kwenye viashiria vyote, changamoto ilikuwa upande wa utoaji wa fedha. Hivyo udumavu katika ngazi ya mkoa ilikuwa 38.6%, ukondefu 3.3%, uzito pungufu 10.2% na upungufu wa damu kwa wajawazito nao walikuwapo kiasi”

Mwisho, wajumbe walisistizwa juu ya kusimamia utekelezaji wa maagizo ya viongozi.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa