• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"Miaka 59 ya Muungano, Sisi ni Kabila Moja , Sisi ni Taifa Moja"- RC Shigela

Posted on: April 26th, 2023

Na Boaz Mazigo-Geita

Katika kudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliotupatia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkoa wa Geita umeadhimisha sherehe za Muungano wilayani Nyang'hwale kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo uzinduzi wa miradi ya Maendeleo.

Akizungumza na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali waliokusanyika Aprili 24,2023 katika uwanja wa Sabasaba, Mkuu wa Mkoa Geita Mhe.Martine Shigela amesema ni vyema kuendelea kumshkuru Mungu kuipatia Tanzania viongozi wenye hofu ambao wameweza kuudumisha Muungano jambo linalofanya taifa letu liendelee kuwa na umoja, mshikamano na maendeleo, huku akiipongeza Nyang'hwale kwa kuwa na shule ya serikali ya mchepuo wa kiingereza aliyoizindua kabla ya kuhutubia wananchi.

"Miaka 59 ya Muungano ni mafanikio yetu sote, taifa letu limeendelea kuwa la Amani na Mshikamano. Sisi ni Kabila Moja, Sisi ni Taifa moja. Tumepiga hatua kwenye elimu, afya, maji, barabara, n.k. Zamani kwenda shule kusoma ilikuwa kuchaguliwa lakini sasa tunashindana kwa vigezo, anayefaulu anaenda kusoma. Muungano umetufanya kuwa kitu kimoja na hii ni kutokana na misingi iliyowekwa, tuudumishe" alisema RC Shigela.

Awali akizindua shule ya msingi mchepuo wa kiingereza Kharumwa, iliyojengwa kutokana na fedha ya CSR ya zaidi ya Milioni 420 ya Mgodi wa Barrick, RC Shigela amesema ipo haja ya kuongeza wigo kwa wananfunzi kujiunga na shule hiyo akisema "shule hii itatukumbusha muungano. Niwapongeze wazazi kuleta watoto kwenye shule hiyo na tunataka kuwaona watoto wa Nyang'hwale wakitamba duniani. Tusijenge matabaka kwenye jamii na michango isiwe kigezo kukwamisha watoto kupata elimu".

RC Shigela alisema pia anaupongeza uongozi wa Nyang'hwale na kusema kuwa, Serikali chini ya Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan inandelea kutengeneza mazingira mazuri kwa wananchi wake, hivyo viongozi na wananchi waendelee kuinga mkono kisha kuwahimiza kupanda miti na kutunza mazingira lakini pia wananchi ni vyema wasivamie maeneo ya shule, yahifadhiwe ili yatumike kwa baadaye.

Mwisho alihitimisha kwa kutoa pongezi kwa mshindi wa Insha ya Muungano kwa Bi.Donatha Kamanzi Denis, kidato cha tano, Shule ya Sekondari Msalala

Naye Bi.Alexandrina Katabi kwaniaba ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa alisema ni vyema kuendelea kuudumisha Muungano na ni vyema wananchi kujiandaa vyema kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na ule mkuu pale utakapofika kwa amani na upendo ili kuendelea kuwaletea wananchi maendeleo.

Kwa upande wao wakuu wa wilaya za Mbogwe Mhe.Sakina Mohamed na Chato Mhe.Deusdedith Katwale kwa nyakati tofauti wasema katika maeneo yao miti imepandwa na itaendelea kupandwa ili kutunza mazingira na wananchi wanaendelea na usafi wa mazingira huku wakihimiza kuulinda na kuudumisha Muungano


Miaka 59 ya Muungano, Umoja na Mshikamano Ndiyo Nguzo ya Kukuza Uchumi



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa