• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miradi Ikamilike kwa Ubora na kwa Wakati- Asema RAS Gombati Ziarani Mbogwe

Posted on: November 22nd, 2023

Na Boaz Mazigo- Geita RS

Halmashauri mkoani Geita zimetakiwa kuhakikisha zinakamilisha miradi ya maendeleo kwa kuzingatia ubora na wakati ili wananchi wasikose fursa ya kuitumia na kupitia miradi hiyo waweze kujiletea maendeleo.

Wito huo umetolewa katika halmashauri ya wilaya ya Mbogwe Novemba 22, 2023 na katibu tawala mkoa wa Geita Bw. Mohamed Gombati wakati wa ziara yake kutembelea miradi ya maendeleo pamoja na kuongea na watumishi wa umma hukupamoja na mengine akisisitiza uwajibikaji, ushirikishwaji wananchi kwenye utekelezaji wa miradi , ushirikiano baina ya watumishi.

Akizungumza kwa nyakati tofauti wakati na baada ya kutembelea miradi mitatu ua sekta ya elimu na afya yenye thamani za zaidi ya Bilioni 1.2, bw. Gombati alisema lengo la serikali ya awamu ya sita ni kuona Mwananchi ananufaika kiuchumi na uwekezaji mkubwa unaofanywa na serikali, hivyo ni muhimu kuikamilisha kwa wakati.

“kwanza niwapongeze wanambogwe kwa utekelezaji wa miradi, lakini pia ieleweke yakuwa, lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati na iwanufaishe wananchi, hivyo ni vyema kukamilisha miradi kwa wakati lakini kwa usimamizi ulio madhubuti”, alisema Gombati.

Aliongeza kuwa, ni vyema viongozi kukemea uzembe kazini na wale wanaobainika kufanya ubadhirifu wachukuliwe hatua, lakini pia taasisi zinazotoa huduma kama TANESCO zihakikishe huduma hizo zinafika kwenye shule zinazojengwa.

Mwisho, Bw.Gombati alisisitiza juu ya mamlaka za serikali za Mitaa kuhakikisha taasisi za serikali kama shule na miundombinu mingine inapimwa na inapatiwa hati za umiliki kwani huo ni utelezaji wa matakwa ya sheria lakini pia hupunguza migogoro.

Kwaniaba ya wananchi wa Mbogwe, mkuu wa wilaya hiyo mhe.Sakina Mohamed alisema, maelekezo yote yaliyotolewa na kiongozi huyo yatazingatiwa na hivyo kazi itaendelea kwa kasi



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa