• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miradi ya Zaidi ya Bilioni 29 Kupitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru Geita

Posted on: August 2nd, 2023

Na Boazi Mazigo - Geita RS

Mkoa wa Geita umepokea Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 kutoka mkoani Shinyanga, mapokezi yaliyofanyika Agosti 2, 2023 katika kijiji cha Nyang’holongo, Halmashauri ya Wilaya Nyang’hwale ambapo mkoa unatarajia kukabidhi mbio hizo mkoani Kagera ifikapo Agosti 8, 2023.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru, mkuu wa mkoa Geita Mhe.Martine Shigela alisema, ukiwa mkoani Geita utapitia, kuona, kufungua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi kwenye miradi 59 yenye thamani ya Shs.29,209,364,945.

“niwakaribisheni wakimbiza mwenge wa Uhuru mkoani Geita, tumejiandaa na tutashirikiana kukamilisha zoezi hili. Aidha, niwapongeze wananchi wengi kwa kujitokeza kupokea mbio za mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu” alisema RC Shigela.

Baada ya makabidhiano baina ya mkoa wa Shinyanga na Geita, mwenge wa Uhuru ulikabidhiwa kwenye Wilaya ya Nyang’hwale na kuanza kukimbizwa ambapo umepita kwenye miradi 10 yenye thamani ya shs.2,026,984,658 ambayo yote imepitishwa.

Akiongea na wananchi katika maeneo mbalimbali ulipopita mwenge wa Uhuru, kiongozi wa mbio hizo kwa mwaka huu ndg.Abdalla Shaib Kaim amesisitiza uzalendo na usimamizi kwenye miradi ya maendeleo kwa kutambua fedha nyingi ambazo zimetolewa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan. Pia, kiongozi huyo amehimiza juhudi za utunzaji mazingira kisha kushiriki kupanda miti.

Mbio za Mwenge wa Uhuru zitaendelea Agosti 3, 2023 ambapo utapokelewa na Halmashauri ya mji Geita

Kaulimbiu ya mbio hizo mwaka huu ni “tunza mazingira, okoa vyanzo vya maji kwa ustawi wa viumbe hai”




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa