• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC Geita Aipongeza Nyang'hwale DC kwa Hati Safi

Posted on: June 21st, 2022

RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale Kufuatia Kupata Hati Inayoridhisha Mfululizo kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 na 2020/21.

Ameyasema Hayo Leo Juni 21, 2022 Wakati Akiongoza Kikao Maalumu Kujadili Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Nyang'hwale Huku Akisisitiza Juu ya Mambo Mbalimbali Ikiwemo Halmashauri Kuhakikisha Inapeleka Kodi ya Zuio TRA kwa Wakati.

"Niwapongeze Nyang'hwale kwa Kuendelea Kuwa na Hati Safi, Hii Inaonesha Jitihada Zinazofanyika Katika Kukuza Uchumi wa Nchi Yetu"

Amesema Mhe. Senyamule

Pia Amesema "Ninakemea Uzembe Utokanao na Baadhi ya Watumishi wasiotambua Majukumu Yao ya Utendaji Kazi na Kusababisha Shughuli Nyingine Kukwama Kama Ucheleweshwaji wa Vifaa vya Ujenzi Lakini Pia Kusababisha Hoja kwa Uzembe"

Alisema, ni Muhimu kwa kila Halmashauri Kuendelea Kutunza Mazingira Ukizingatia kwa Nyang'hwale Kuna Uchimbaji wa Madini.

Alisisitiza pia Kupitia Kikao Hicho Akisema, "Naomba Kupata Taarifa za Majibu ya Hoja Kila Nifanyapo Ziara ili Kuweza Kuona Maboresho Katika Utendaji Kazi.

Aliongezea "Madiwani Niwaombe Tuisemee Serikali Wananchi Wajue ni Nini Inafanya Kwani Tukikaa Kimya Wengine Wataisemea Isivyo"

Akimaliza Kabla ya Kuahirishwa Kikao, RC Senyamule Alikumbusha Juu ya Maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi na Maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru na Kusema Kuwa Ofisi ya Mkoa Itaendelea Kutoa Ushirikiano ili Kuhakikisha Zoezi Hili Linaenda kwa Weledi wa Hali ya Juu.

Awali, Mkaguzi Mkuu wa Nje (M) Geita CPA Richson Ringo Aliwasihi Watumishi na Viongozi Kufanya Kazi kwa Kuzingatia Taratibu, Miongozo na Sheria Mbalimbali Zikiwemo za Bajeti, Fedha, Kazi, Manunuzi n.k ili Kupunguza Uwezekano wa Hoja.

Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Jamhuri William akasema, "bado nyang'hwale tuna nafasi ya kuongeza mapato ya ndani lakini pia tujitahidi kutimiza wajibu wetu ili kusaidia ukamilishaji wa miradi kwa wakati kwakuwa miradi mingi huchelewa kutoka na baadhi kutotimiza vyema majukumu yao"

Kwa Upande Wake Bi. Sania Mwangakala Ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi Serikali za Mitaa Alisisitiza Kuwa Halmashauri Zapaswa Kuzingatia Kuwa kwa Sasa Zinapimwa Kupitia Vigezo Vitano Ikiwemo Utekelezaji wa Hoja za CAG,  Ukusanyaji wa Mapato, Upelekaji 40% ya Mapato ya Ndani Kwenye Miradi ya Maendeleo, Kutoa Mikopo ya10% ya Mapato ya Ndani kwa Kundi la Vijana, Wanawake na Wenye Ulemavu, Lakini Pia Kufuatilia Marejesho ya Mikopo Hiyo.

Mwenyekiti wa Halmashauri Hiyo Bw. John John Pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Husna Toni Walisema kwa Nyakati Tofauti Kuwa Wanaishukuru Ofisi ya Mkoa kwa Ushirikiano na Kwamba Wataendelea Kutoa Ushirikiano kwa Wakaguzi Ili Kuondoa Hoja Zilizosalia na Kwamba Watajitahidi Kuongeza Nguvu Kwenye Kuongeza Vyanzo vya Ukusanyaji Mapato.

Boazi Mazigo

AG.HGCU

Juni 21, 2022

Nyang'hwale-Geita



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa