• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC Geita Awasainisha Wakuu wa Wilaya Mikataba ya Usimamizi wa Lishe

Posted on: October 2nd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amewasainisha Mkataba wa Usimamizi wa Lishe Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Geita ikiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya Serikali kupitia Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita tarehe 01.10.2018.

Mhandisi Gabriel amesema kuwa, “Geita haijafanya vizuri katika suala la lishe, hivyo Afisa Lishe kwa kushiirikiana na Halmashauri na Wakuu wa Wilaya mnatakiwa kujua vizuri suala hili ili kuweza kufikisha ujumbe kwa jamii”. Na amesema katika ziara atakzofanya kwenye wilaya hivi karibuni atapenda kusikia maendeleo upande wa lishe.

Pia ametoa wito kwa viongozi kuendelea kufanya mazoezi ili kuepuka magonjwa yatokanayo na kutofuata kanuni za lishe ili kutokwama katika kutekeleza majukumu yao, kisha kuwasainisha mkataba Wakuu wa Wilaya.

Katibu Tawala wa Mkoa, Bw. Denis Bandisa yeye alieleza vipaumbele katika kusimamia suala la lishe ikiwemo kutenga fedha kwa ajili ya shughuli za lishe, kuandaa mpango mkakati wa lishe wa mkoa, utendaji makini wa kamati ya lishe ya mkoa, usimamizi shirikishi, kutoa vidonge vya kuongeza damu kwa akinamama wajawazito n.k, ya kwamba endapo yatafanyiwa kazi vizuri, basi tatizo la kutokuwa na lishe bora litaondoka. Aliongeza kuwa ,tayari Mkoa umeshaandaa mkakati ili kuanza utekelezaji. Hivyo awaasa viongozi kuzingatia kanuni za lishe na kutokuwa na tabia zisizo nzuri za ulaji kama vile kunywa pombe kupita kiasi.


Hafla ya utiaji saini mkataba huo imehudhuliwa pia na wakurugenzi na wakuu wa Idara na Vitengo

Mwisho



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa