• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC Shigela Afikisha Salamu za Rais Samia kwa Waathirika wa Mvua Chato.

Posted on: November 28th, 2023

Na Boaz Mazigo, Geita RS

Mkuu wa mkoa Geita Mhe.Martine Shigela ametoa salam za pole za Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ya wilaya ya Chato walioathirika kufuatia mvua kubwa nayoendelea kunyesha kama ambavyo ilitahadharishwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini TMA juu ya uwepo wa mvua za Elnino.

Ametoa salamu hizo za pole Novemba 28, 2023 alipofanya ziara wilayani humo kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo Kitongoji cha Zakia,  Kitongoji cha Ibanda, Kata ya Muganza na kujionea uharibifu wa mali na miundombinu kisha kuwashukuru viongozi na wananchi kwa hatua za awali za kuwasaidia waathirika hao pamoja na kuwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari.

"kwanza nifikishe salamu za upendo za pole kutoka kwa kiongozi wetu na Rais wetu Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kufuatia maafa yaliyotokea. Kwaniaba ya serikali nitatoa kwa kuanzia kilo 300 za Unga wa Mahindi ya chakula ili angalau wakati tunasubiri takwimu za waathirika ziwasaidie. Vilevile niwashukuru wana Chato kwa moyo wa upendo wa kuwasaidia wenzenu ambao wamekosa malazi mkawapa hifadhi na kwa wale waliojeruhiwa, serikali itagharamia matibabu yao yanayostahili", alisema RC Shigela.


Aliongeza kuwa, ni vyema wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kwa wale wote mnaoishi kwenye mabonde au jirani na mabwawa na kama Serikali inao mpango wa kufungua barabara za kwenye vitongoji ili muda utakapofika wananchi wawe tayari kutoa ushirikiano bila kudai fidia.

RC Shigela alihitimisha kwa kumuelekeza mkandarasi ambaye anarekebisha barabara kuhakikisha afanya kazi hiyo ndani ya muda ili kuokoa miundombinu hiyo.

Kwa upande wao waathirika wa mvua hiyo walisema wanaishukuru serikali na Mhe.Rais Samia kupitia mkuu wa mkoa kwa kuwatembelea na kuwajulia hali na kuwapa msaada.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa aliambatana na wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Mkoa na Wilaya




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa