• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Redio Za Jamii Zajengewa Uwezo Kuhusu Mfumo Wa M-mama

Posted on: November 9th, 2024

REDIO ZA JAMII ZAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA M-MAMA

Shirika la Pathfinder International limetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari kutoka katika Redio za kijamii zilizoko katika kanda ya ziwa ili waweze kutoa elimu kwa jamii zinazowazunguka kufahamu vyema mfumo wa m-mama na namna unavyofanya kazi.

Akifungua semina ya mafunzo kwa Redio za jamii kutoka mikoa ya kanda ya ziwa kwenye hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza Novemba 08, 2024 Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amesema wanahabari kutoka kwenye Redio za kijamii wana nafasi kubwa ya kusaidia wananchi kuweza kufahamu mfumo huo ulioletwa mahsusi kwa ajili ya kuokoa maisha ya mama na mtoto.

 Dkt. Jesca Lebba ametoa wito kwa Redio za jamii kusaidia kuelimisha umma juu ya mfumo wa M-Mama unaotoa fursa ya usafiri wa dharula kwa Mama mjamzito, mama aliyejifungua ndani ya siku 42 na Mtoto mchanga mwenye umri usiozidi siku 28 kuanzia kwenye ngazi ya jamii hadi kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.


Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ameongeza kuwa kulingana na tafiti zilizofanyika imeonekana kumekua na ucheleweshaji wa taarifa, miundombinu duni ya kufika kwenye vituo vya kutolea huduma pamoja na ucheleweshaji kwenye kupatiwa huduma mama wajawazito na watoto wachanga wanapofika hospitali hivyo mfumo huo umekuja na suluhisho kwenye adha hizo.

Akielezea kuhusu mradi huo, Mratibu wa mfumo wa M-Mama kutoka Mkoa wa Mara Stanley Kajuna amesema kuwa M-mama ni mfumo ulioanzishwa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine kama Vodacom Foundation, Pathfinder International, Touch Health kwa lengo la kuwawezesha mama mjamzito, mama aliyejifungua ndani ya siku 42, na mtoto mchanga hadi siku 28 kupata huduma za haraka anapopata dharura kwa kupiga simu namba 115 bila gharama yoyote.

Ndg. Kajuna ameongeza kwamba katika kuhakikisha usafiri wa dharura unaomsafirisha mlengwa bure mpaka kwenye kituo cha kutolea huduma za afya unapatikana kiurahisi jumla ya madereva jamii elfu nne wameshasajiliwa kwa ajili ya usafirishaji.






Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa