• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Serikali ni Mwajiri Bora Zaidi Tanzania”. Asema RC Geita Mhe.Rosemary Senyamule

Posted on: May 21st, 2022

Ikiwa umetimia mwaka mmoja tangu kuteuliwa na kuapishwa kwake, mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amewataka watumishi wa ofisi anayoiongoza kufanya kazi kwa bidii akiwahusia kufanya kazi zote bila kubagua pale wanapopata fursa ya kuzifanya kwani kwa kufanya hivyo itawajengea nafasi nzuri ikiwa wanayo nia na ndoto ya kukua kiutumishi.

Ameyaeleza hayo Mei 20,2022 alipoketi na kuzungumza na watumishi wa ofisi hiyo kwa lengo la kusikiliza kero, maoni, ushauri na pongezi kwa serikali kama ilivyo utamaduni wake hata kwa wanachi huku akiwataka watumishi hao kutambua thamani ya nafasi na dhamana waliyonayo lakini pia matajario ya mwajiri wao ambaye ni serikali na kusisitiza namna ilivyo na hadhi ya juu miongoni mwa waajili wengi.

“pongezi kwetu kwa kuhamia jengo jipya la ofisi yetu, huu ni ujasiri na tumshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa ofisi za umma ikiwemo hii. Pili napenda mtambue yakuwa, serikali yetu ndiye mwajili aliye bora kuliko wengine kutokana na namna anavyotutendea watumishi. Vilevile niwakumbushe kuwa mabalozi wema wa mema yanayofanywa na serikali kwa kuwa mambo mengi mazuri yamefanyika na tuendelee kuwa waadilifu”. Alisema Mhe.Senyamule.

Alimaliza kwa kuwakumbusha watumishi kupenda kujiendeleza kitaaluma, kuwa wabunifu katika utendaji kazi, kupendana, kushirikiana, na kwamba serikali itaendelea kuwajali na ndiyo maana Mhe.Rais ameongeza mshahara hivyo watambue kuwa serikali inawapenda na inatamani wananchi wake waendelee kuifurahia.

Naye Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ngd.Herman Matemu alimshukuru Mhe.Senyamule kwaniaba ya Watumishi wa ofisi hiyo akiahidi kutekeleza na kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotokana na kikao hicho, kisha kumuomba mkuu wa mkoa aendelee kutoa ushauri wake kila wakati atakapokuwa ameona jambo la kushauri.

Awali, watumishi mbalimbali walitoa maoni, ushauri na pongezi kwa serikali kwa namna inavyoendelea kuwajali watumishi na kumshukuru Mhe.Rais kwa kupandisha mishahara wakisema, "Asante Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan".

Imeandaliwa na:

Boazi Mazigo

Ag.HGCU

Geita RS



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa