• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TARURA Bukombe Wanasema, Kazi Inaendelea Pamoja na Mvua Kuwa Nyingi.

Posted on: April 1st, 2022

Timu ya wataalam kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Geita imeendelea kuwasisitiza wahandisi kuwasimamia kwa ukaribu wakandarasi ili kuwa na kazi yenye matokeo na tija kwa wananchi ambao ni watumiaji na wanufaika wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara.

Hayo yameshauriwa kwa wataalam wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA Wilaya ya Bukombe Machi 31, 2022 baada ya timu hiyo ya mkoa kufika na kutembelea miradi mbalimbali ya barabara inayotekelezwa wilayani Bukombe

Akiongea kwa nyakati tofauti, Bw.Last Lingson ambaye ni Afisa kutoka idara ya Mipango na Uratibu ambayo inahusika na uratibu wa ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo pamoja na wataalam wengine (wakiwemo wahandisi) alisema, ni muhimu sana kuhakikisha wakandarasi wanasimamiwa kwa ukaribu ili kuepusha kuchelewesha miradi lakini pia kuhakikisha kazi inayokamilika inakua haina mapungufu kwa ustawi wa Maendeleo ya taifa.

"Wito wetu bado ni uleule, wahandisi endeleeni kuwasimamia wakandarasi kwa ukaribu kwani itawapunguzia changamoto nyingi zinazosababishwa na wakandarasi wawapo kazini. Lakini pia, tuwahimize wakandarasi walioongezewa muda kujitahidi kuutumia vyema muda huo ili kuwahisha huduma kwa wananchi". Alisema Bw. Lingson.

Kwa upande mwingine, wakandarasi waliokutwa eneo la kazi akiwemo LYAKALE Civil Works Co.Ltd na KASERKANDIS Construction & Transport Co. Ltd wameahidi kufanya kazi kwa bidii ukizingatia majira ya mvua ili hali hiyo isiwe kikwazo kukamilisha kazi kwa wakati.

Naye Bw. Eustance Mahuma, Fundi Sanifu Mkuu kutoka TARURA Bukombe alisema, wao wanaendelea kuhakikisha wanawasimamia wakandarasi wote na watahakikisha masharti ya mkataba yanafuatwa na ushauri uliotolewa na wataalam wa ofisi ya mkuu wa mkoa utazingatiwa kwani yote ni katika kufanikisha shughuli za serikali kuwaletea Wananchi maendeleo.

Mvua zimeelezwa kuwa changamoto kukwamisha wakandarasi kumaliza kazi kwa wakati, au pengine kuonekana wamechelewa, lakin hata hivyo jitihada zinaendelea kufanyika pamoja na hali iyo, kazi zinaendelea.

Geita ya Dhahabu, Utajiri na Heshima.

Kazi Iendelee


Boazi Mazigo

Afisa Habari

Geita RS



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa