• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Tatueni Migorogoro ya Ardhi, Saidieni Wajane na Wanawake”-RC Shigela

Posted on: April 13th, 2023

Na Boazi Mazigo-Geita

Wajumbe wa Baraza la ardhi la nyumba Wilaya ya Geita wametakiwa kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kanuni katika kutenda haki wakati wa utatuzi wa migogoro ya ardhi huku wakisisitizwa kuwasaidia wanawake na wajane ambao wengi wamekuwa wakikumbwa na changamoto ya kukosa haki ya kumiliki ardhi hususan wakati wanapoondokewa na wenzi au waume zao.

Hayo yameelezwa Machi 13, 2023 na mkuu wa mkoa Geita Mhe.Martine Shigela wakati akiwaapisha wajumbe hao ofisini kwake na kumshukuru waziri mwenye dhamana na ardhi kwa kuona umuhimu na haja ya kuimarisha sekta hiyo

Mhe.Shigela ameanza kwa kumshukuru Waziri mwenye dhamana Mhe.Dkt.Angeline Mabula (Mb) kwa kuona haja ya kuimarisha baraza la ardhi na nyumba katika Wilaya ya Geita akisema, “tunataka Mkoa wetu uondokane na migogoro ya mali, ardhi ikiwemo”

“mkoa wetu una shughuli nyingi za kiuchumi, watu huongezeka lakini ardhi ni ileile, hivyo migogoro inaweza kuibuka mara kwa mara. Dhamana mliyopewa ni kubwa, hivyo nendeni mkamsaidie mwenyekiti na wananchi wa Geita kuhakikisha mnatenda haki, nitawapa ushirikiano na ofisi yangu ipo wazi”, alimaliza Mhe.Shigela


Kwa upande wake Mwenyekiti Baraza la Ardhi na Nyumba (w) Geita Bw.Edward Masao, alisema “awali tulikuwa na migogoro 450 lakini kwa sasa imebakia 195, elimu (darasa la asubuhi), mazungumzo, ndiyo chanzo cha mafanikio hivyo naamini kwa kuteuliwa wajumbe hawa ambao ni muhimu katika kunisaidia kufanya maamuzi tutaendelea kuipunguza kwa kiasi kikubwa migogoro ya ardhi”.

Naye Bi.Mary Masao miongoni mwa wajumbe watatu walioapishwa alisisitiza kuwa watazingatia kwa Uimara (STK) Sheria, Taratibu na kanuni katika kumshauri mwenyekiti juu ya utatuzi migogoro mbalimbali ikiwemo ile ya kudhurumiwa ardhi kwa wanawake na wajane

wajumbe hawa wameteuliwa kwa miaka 3 na Waziri wa Ardhi kwa mujibu wa kifungu cha 26(1) cha Sheria ya Mahakama za Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi na.2 ya mwaka 2002 na wameapishwa na Mkuu wa Mkoa kwa mujibu wa kanuni na.36 ya Gn.na.174 ya mwaka 2003.

Geita Bila Migogoro ya Ardhi, Inawezekana.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyabiashara Wadogo Wahamasishwa Kujisajili

    May 15, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa