• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

Posted on: February 13th, 2026


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela, amesema kuwa programu ya Mradi wa Thamini Uhai utaleta tija na kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga vinavyotokea wakati wa kujifungua.

Mhe. Shigela ameyasema hayo tarehe 12 Februari 2026 alipokuwa akizindua rasmi mradi huo katika Ukumbi wa mikutano Otonde uliopo Geita mjini.

 Mkuu wa Mkoa amebainisha kuwa uwepo wa mradi huo utaongeza vifaa, kuongeza watumishi katika maeneo yenye uhaba wa wafanyakazi, kuongeza uhamasishaji kwa jamii, pamoja na kuimarisha miundombinu ya vituo vya afya ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto kabla, wakati na baada ya kujifungua.

Mhe. Shigela ametoa shukrani za dhati kwa Shirika la Thamini Uhai kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo, Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo wanazidi kutoa mkazo na kuunga mkono   jitihada za Mkoa wa Geita katika kuhakikisha inaboresha masuala ya afya ya uzazi na kupunguza vifo vya mama na mtoto.

Mwakilishi kutoka Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bi. Jesca Tryphone amewaasa wataalam wa Afya katika maeneo yote ambayo mradi utatekelezwa waendelee kuimarisha uwajibikaji katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kusimamia vyema mfumo wa mapato na matumizi katika vituo vyao kwa lengo la kupata mapato yatakayowawezesha kununua dawa na vitendea kazi vingine.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Thamini Uhai Banzi Msumi, amesema lengo la mradi huu ni kuunga juhudi za Serikali katika kupunguza vifo vya mama na mtoto mchanga,kuboresha huduma za dharura za uzazi na mtoto mchanga, huduma bora za kliniki za wajawazito na ufuatiliaji,kupanua upatikanaji wa kinga na tiba kwa watoto na akina mama baada ya kujifungua,kutoa ushauri wa kitaalam,utafiti na ufuatiliaji wa takwimu kwa Kushirikiana na Wizara ya Afya.

Akizungumza kwa niaba ya Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Geita,Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Mhe.Mhandisi Paskasi Muragili ameahidi kuwa mradi wa Thamini Uhai utapewa ushirikiano thabiti na kuhakikisha Mkoa wa Geita unakuwa wa kwanza katika utekelezaji wa kupunguza kabisa   vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Mradi wa Thamini Uhai utatekelezwa katika vituo 160 vya Afya ndani ya Mikoa ya Geita, Kigoma na Katavi katika kipindi cha miaka mitano kuanzia Novemba 2025 hadi Juni 2030 kwa gharama za Dola za Kimarekani Milioni 12 ambapo Mikakati ya Mradi huo ni pamoja na Kuboresha huduma za dharura za uzazi na mtoto mchanga, huduma bora za kliniki za wajawazito na ufuatiliaji, kupanua upatikanaji wa kinga tiba kwa watoto na akina mama baada ya kujifungua na ushauri wa kitaalam, utafiti na ufuatiliaji wa takwimu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya.



Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • STAMICO NA PLANTCOR ZAPONGEZWA KWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

    February 25, 2026
  • E- Mrejesho Kutatua Changamoto za Wananchi

    February 14, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • Tazama Zote

Video

MAKALA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • situs toto
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto 4d
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • situs toto
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77