• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tunahitaj Mkoa Wetu Uwe na Maendeleo Yanayofanana- CCM Geita

Posted on: August 27th, 2023

Na Boazi Mazigo-Geita RS

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa Geita imehitimisha ziara yake kwenye wilaya zote tano za mkoa wa geita kwa kutembelea na kuona miradi mbalimbali ya sekta ya Elimu, Maji na Utawala katika Halmashauri ya wilaya Nyang'hwale na kueleza kufurahishwa kwao juu ya usimamizi mzuri wa miradi ya Maendeleo hadi kutamani mkoa wote kuwa na maendeleo yanayofanana kwa maana ya utekelezaji na usimamiaji mzuri wa miradi.

Hayo yameelezwa Agosti 27, 2023 wakati wajumbe hao walipokuwa kwenye mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Busengwa kupitia mradi wa BOOST iliyoletewa shilingi milioni mia tano arobaini na laki tatu (540,300,000)

Akiongea akiwa kwenye miradi tofauti tofauti, mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Mkoa Geita Nicholaus Kasendamila alisema,"nimpongeze Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi akiwajali wananchi, lakini pia nyang'hwale nawapongeza sana kwa usimamizi mzuri wa miradi. Natamani mkoa wetu uwe na maendeleo yanayofanana na tuisimamie vizuri. Lakini pia, hakikisheni mnasimamia malipo ili vibarua kwakuwa wengi wamekuwa wakidhurumiwa. Hata hivyo niwapongeze viongozi wenu kuanzia mkuu wa wilaya, katibu tawala, Mkurugenzi na wataalam, mnafanya vizuri"

Mwenyekiti Kasendamila alimaliza kwa kumpongeza mwakilishi wa Mkuu wa mkoa ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Geita kwa kusimamia vizuri maandalizi ya ziara hayo pamoja na wataalam wa ofisi ya mkoa huku akiwasihi watumishi wote kudumisha upendo, mawasiliano na mahuasiano mema.

Kwa upande wake Mhe.Cornel Magembe,mkuu wa wilaya ya Geita na mwakilishi wa mkuu wa mkoa geita alisema, anawashukuru wajumbe wote wa kamati hiyo ambayo imepita wilaya zote na kuahidi kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa.

Akiongea kwaniaba ya viongozi wenzake, mkuu wa wilaya Nyang'hwale Mhe.Grace Kingalame amewashukuru kamati hiyo pamoja na viongozi wa serikali kwa kutembelea miradi wilyani humo akisema " huku ndiyo kutekeleza falsafa ya CCM kwa kutekeleza Ilani yake" kisha kuahidi kuzingatia ushauri wote uliotolewa na kuufanyia kazi.


Ziara wilayani Nyang'hwale imehitimishwa kupitia miradi yenye gharama ya jumla ya Bilioni 8,561,053,035,5.





Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa