• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ushirikiano wa Walimu na Wazazi Waongeza Ufaulu Nyang'hwale

Posted on: December 5th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg.Mohamed Gombati amebainisha kuwa ushirikiano wa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyagh'wale, wazazi na walimu umefanya Kuongezeka kwa ufaulu mwaka 2025 Ukilinganisha na Ufaulu wa Mwaka 2024 wa matokeo ya Darasa la Saba wilayani humo.

Ndg. Mohamed Gombati  ameyasema hayo wakati wa hafla ya utoaji  motisha kwa walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma, hafla iliyofanyika Katika Shule ya Sekondari Msalala iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Nyagh'wale tarehe 4 Disemba 2025.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ameeleza kuwa wanafunzi waliofanya vizuri wamedhihirisha mojawapo ya faida ya elimu ambayo ni kutengeneza kujiamini na kujenga uwezo wa kuisaidia Serikali katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya maendeleo.

Ndg.Gombati ametoa wito kwa Halmashauri ya Wilaya ya Nyagh’wale kuendelea kuwapa lishe wanafunzi Ili ufaulu uweze kuongezeka. Pia amewasisitiza wazazi na walezi kuwalea watoto katika maadili mema yanayokubalika katika jamii.

Katibu Tawala Wilaya ya Nyagh'wale Bi.Kaunga Amani amesema waliunda tume ya Kufuatilia changamoto za elimu na baada ya kuzibaini wakazifanyia kazi kwa kushirikiana na walimu na kuyafanyia kazi maelekezo ya kamati ya usalama wilaya, miongoni mwa maelekezo hayo ni kulima zaidi ya hekari mbili zitakazowezesha upatikanaji wa chakula mashuleni na kuondoa tatizo la utoro kwa wanafunzi.

 Mwakilishi wa Afisa Elimu Mkoa wa Geita Ndg.Salome Cherehani amewapongeza walimu na wanafunzi waliofanya Vizuri katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi na amewasisitiza kuendelea kufanya vizuri katika elimu ya Sekondari bila kusahau kuwa watiifu na wenye nidhamu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nyagh'wale Bi.Husna Toni amesema madhumuni ya Hafla hiyo ni kuwapongeza walimu waliofaulisha wanafunzi vizuri kwa alama A kwa masomo yote kwa Kuwapatia motisha ya Zawadi mbalimbali kwa lengo la kuwatia moyo walimu kwa kazi kubwa wanayoifanya.

Afisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyagh'wale Bw. Nassoro Hamisi amesema ufaulu wa mwaka 2025 umeongezeka  tofauti na Mwaka jana hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Nyagh'wale imeamua kutoa motisha kwa walimu Ili kuwaongezea nguvu  waweze kufundisha kwa weledi na kupelekea kupatikana kwa matokeo mazuri kila mwaka.

 Mbunge wa Jimbo la Nyagh'wale Mhe.Hussein Kasu amesema yupo tayari kutoa kilo 200 za mbegu za mahindi na maharage kwa shule zote za sekondari na msingi wilayani humo na kuwasisitiza wazazi na walezi kuwasimamia watoto Ili waweze kuwa na Maendeleo mazuri katika masomo.

Akizungumza kwa  niaba ya wanafunzi wenzake waliofanya Vizuri mhitimu wa darasa la saba mwaka 2025 Abigael Richard Mwisaji amewashukuru walimu, wazazi na walezi kwa Msaada wao mkubwa katika kuhakikisha wamepata matokeo mazuri aidha amewasisitiza wanafunzi wenzake wanaoendelea na masomo mashuleni kuweka msisitizo katika elimu ili iwakomboe.


Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Ushirikiano wa Walimu na Wazazi Waongeza Ufaulu Nyang'hwale

    December 05, 2025
  • Ugonjwa wa Selimundu Kupatiwa Utambuzi Geita

    December 05, 2025
  • Serikali Kujenga Maabara ya Kisasa ya Uchunguzi Madini Geita

    December 02, 2025
  • Maafisa Maendeleo ni Daraja la Kuwakwamua Wananchi Kiuchumi- Gombati

    November 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

MAKALA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200