• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Wahimizeni Wananchi Kuchukua Tahadhari Wakati wa Mvua za Vuli”, Asema Dkt.Sukari

Posted on: October 20th, 2023

Na Boazi Mazigo – Geita RS

Viongozi ngazi za wilaya wameendelea kusisitizwa kuwamasasisha wananchi mkoani hapa kujihadhari na majanga yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ikiwa ni kipindi cha mvua za Vuli kama ilivyohimizwa na mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA.

Wito huo umetolewa Oktoba 20, 2023 kwa wajumbe wa kamati ya wataalam ya mkoa ya usimamizi wa maafa na kusisitizwa juu ya kuwaelimisha wananchi lakini pia kuendelea kukutana na kamati ngazi za halmashauri, kata na vijiji ili kujengeana uwezo wa namna ya kukabiliana na majanga pindi yatakapotokea.

Akiongea kabla, wakati na baada ya kikao hicho, Dkt.Omari Sukari ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo na kaimu katibu tawala mkoa alisema, kila taasisi inao wajibu wa kujipanga kwenye eneo lake lakini pia ni muhimu kuwa na mpango wa tahadhari na kwamba baada ya wao kukamilisha mipango yao, itawezesha uwepo wa mpango wa tahadhari wa mkoa ambao umebeba maeneo yote.

“kwanza niwapongeze kwa kikao hiki, lakini pia nitoe wito mnaporudi kwenye maeneo yenu, mkasisitize utoaji wa elimu kwa wananchi ili wachukue tahadhari kwani huu ni wajibu wetu. Lakini si hivyo tu, mkashirikishane kupitia vikao, ili muwe na uelewa wa pamoja”, alisema Dkt.Sukari.

Dkt.Sukari alimaliza kwa kusisitiza kuwa kila mmoja anayo nafasi katika kupunguza athari ambazo zinaweza kujitokeza wakati wa mvua za vuli, hivyo kuwataka wajumbe hao kuwa tayari muda wote kuanzia wakati huu.

Kwa upande wao na kwa nyakati tofauti, wajumbe wa kamati hiyo wakiwemo kutoka jeshi la polisi, la akiba, zimamoto na uokoaji, na viongozi wa taasisi nyingine wamesema wapo tayari na wamejiandaa kibajeti lakini pia hata kuwa tayari kurejesha miundombinu ambayo inaweza haribiwa kama vyanzo vya maji, nguzo za umeme, madaraja, barabara n.k



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa