• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Geita Wahamasishwa Kuwekeza

Posted on: January 22nd, 2026


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Martine Shigela ametoa hamasa kwa wananchi wa Geita kutumia raslimali zinazopatikana Nchini na fursa zinazotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kufanya uwekezaji katika maeneo mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi wao binafsi na jamii inayowazunguka.

Mhe. Shigela ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizindua rasmi Kongamano la kuhamasisha uwekezaji wa ndani katika Mkoa wa Geita lililofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Kongamano hilo limeandaliwa na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo maalum ya kiuchumi Tanzania (TISEZA).

Mkuu wa Mkoa wa Geita ameeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwezesha sekta mbalimbali za uzalishaji kama kilimo  ambapo kwa Mkoa wa Geita mradi wa umwagiliaji Ibanda ambao utahitaji maghala ya kuhifadhia mazao, mashine za kisasa za kuvunia mpunga na kukoboa na miundombinu mingine muhimu ambayo yote ni fursa zinazoweza kutumiwa na wananchi.

Mhe. Shigela ameongeza kuwa kampeni inayofanywa na TISEZA itawasaidia wachimbaji wengi wa Madini kufanya uwekezaji kwa ubia stahiki pasipo kukiuka sheria, kanuni na taratibu za Nchi na kufafanua kuwa wachimbaji wadogo wengi wanawekeza kwa mazoea kwa kutofahamu taratibu zinazohitajika, jambo ambalo huenda likabadili mitazamo na kuongeza uzalishaji kwa maslahi mapana ya Mkoa.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TISEZA, Balozi Dkt. Azizi Mlima amesema kupitia kampeni ya uwekezaji wa ndani Mamlaka yake imelenga kubadili fikra kwa wananchi walio wengi ni kufikiri kuwa uwekezaji mahsusi  ni wanaotoka nje ya Nchi lakini watanzania wanatakiwa kutumia fursa zilizopo Nchini kufanya uwekezaji mdogo, kati na mkubwa.

Kwa upande wake Meneja na Msimamizi wa Mradi wa nishati safi ya kupikia Bw. Hamisi Yahaya amesema kuwa jambo ambalo amejifunza kutoka kwenye kampeni hiyo na kuwashauri wachimbaji Madini kujisajili kama wanachama wa TISEZA na kunufaika na msamaha wa kodi ya forodha kwa aslimia 100% watakapohitaji kuagiza vifaa vya kazi kama mashine za CIP, malori makubwa ya kubeba marudio, mashine za kuchimba Dhahabu na vifaa vinginevyo.

Kampeni hii ya kitaifa itakayofanyika katika mikoa yote Tanzania Bara kuanzia tarehe 18 Januari hadi 9 Aprili 9, 2026 imelenga kubadili fikra na mtazamo uliopo miongoni mwa watanzania kwamba uwekezaji ni kwa ajili ya raia wa kigeni na sio watanzania kwa kutoa elimu ya uwekezaji kwa makundi mbalimbali katika jamii na kujenga hamasa itakayosaidia kuchochea  mwamko na kuongeza idadi ya wawekezaji wa ndani.

Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • E- Mrejesho Kutatua Changamoto za Wananchi

    February 14, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • Thamini Uhai- Mkombozi wa Mama na Mtoto Geita

    February 13, 2026
  • TANADA Yarejesha Tumaini kwa Wauzji wa Pembejeo Geita

    February 11, 2026
  • Tazama Zote

Video

MAKALA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • situs toto
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto 4d
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88