• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Jitokezeni Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa- RC Shigela

Posted on: September 19th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe.Martine Shigela ametoa wito kwa wananchi wote katika mkoa wa Geita kushiriki kikamilifu katima Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwezi Novemba 2024.

Mhe. Shigela ametoa wito huo alipokuwa akiongoza Kikao cha watumishi mbalimbali wa Serikali, Madiwani pamoja na Kamati za ulinzi na usalama za wilaya na Mkoa wa Geita kilichofanyika tarehe 18/09/2024 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Aloysius Geita Mjini.

Mkuu wa Mkoa wa Geita ameeleza kuwa Serikali imejipanga vyema kuhakikisha wananchi Wanashiriki katika zoezi la Uandikishaji wapiga kura na kujitokeza kwa wingi siku ya Uchaguzi wa viongozi wetu wa Serikali za Mitaa siku ya tarehe 27 Novemba 2024.

       ‘’Serikali imepanga vituo vya kutosha kwa ajili ya kuwaandikisha wapiga kura, ambavyo vitakuwa jirani na makazi ya wananchi ili waweze kujiandikisha kiurahisi.’’Ameongeza Mhe.Shigela.


 Mkuu wa Mkoa wa Geita pia amewaagiza waheshimiwa  Madiwani na watendaji wa kata kuendelea na shughuli ya kuwaelimisha na kuhamasisha wananchi katika maeneo yao ili wananchi wote wafahamu umuhimu wa kushiriki katika zoezi la kuwachagua viongozi wao katika ngazi za mitaa.

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ndugu.Mohamed Gombati ameeleza kuwa shughuli za usimamizi wa Uchaguzi huo zitasimamiwa na watakaoteuliwa kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi .

Kwa upande  wake Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Geita  Ndugu.Innocent Mabiki amesema uandikishaji wa wapiga kura utafanyika kwa siku kumi kuanzia tarehe 11-20 Oktoba na siku ya Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa itakuwa tarehe 27 Novemba 2024.  




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa