• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI KUNUFAIKA NA UFUNGUZI WA OFISI YA KANDA MAGHARIBI YA LAPF GEITA

Posted on: October 13th, 2017

NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS TAMISEMI AFUNGUA OFISI ZA KANDA YA MAGHARIBI MFUKO WA LAPF MKOANI GEITA

Mkoa wa Geita umepata neema ya kupata Ofisi ya Kanda ya Magharibi baada ya mfuko wa LAPF kuzindua Ofisi zake za Kanda ya Magharibi itakayohudumia mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma.

Akihutubia wakazi wa Mji wa Geita katika viwanja vya mfuko huo mkoani hapa mgeni rasmi, Mheshimiwa Josephat Sinkamba Kandege Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi amewapongeza LAPF kwa kuona umuhimu wa kufungua Ofisi za Kanda mkoani hapa kwani itakuwa msaada kwa watumishi wa Mkoa huu na mingine kwakuwa walikuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo.

Amewashukuru kwa kujali wateja wao mpaka kufikia mtumishi anapata mafao kabla ya kustaafu,  na kutoa huduma zingine za uzazi ambazo zinawapa unafuu wa kupata mahitaji muhimu baada ya kujifungua.  Ameikata mifuko mingine kuiga mfano huu ili kubaini na kukabiliana na kero mbalimbali za watumishi. Katika hatua nyingine amezitaka Halmashauri za Wilaya zote nchi kuhakikisha kuwa zinapeleka michango ya wanachama katika.

Aidha, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa LAPF Bwana Eliud Sanga amemkabidhi madawati 100 kwa Naibu Waziri wa Tamisemi ukiwa ni mchango wa taasisi hiyo kwa LAPF ambayo hata hivyo yameelekezwa katika shule ya Sekondari Nyantorotoro iliyopo Halmashauri ya Mji Geita.

Vile vile Mheshimiwa Naibu Waziri ametumia ziara hiyo kukagua ujenzi wa barabara inayojengwa kwa kiwango cha lami ya Katundu hadi eneo la Amerikani Chips yenye urefu wa Kilometa 2.6.Amemuagiza Mkandarasi kuhakikisha barabara hiyo inakabidhiwa kwa Mkuu wa Mkoa ifikapo January  30/2018.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa