Posted on: November 5th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Gabriel, ameagiza kufanyika uchunguzi kufuatia nyufa/mipasuko iliyoonekana kwenye Zahanati ya Nyanguku iliyopo Kata ya Nyanguku Halmashauri ya Mji Geita.
...
Posted on: November 4th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amezindua kampeni ya usafi wa mazingira ya mtaa kwa mtaa itakayodumu mwezi mzima ikihamasisha usafi kuwa endelevu katika kuhakikisha Mji wa Geita...
Posted on: November 2nd, 2018
Katibu Tawala Mkoa wa Geita Bw. Denis I. Bandisa amesema yupo Mkoani Geita kwa lengo la kufanikisha shughuli zote za maendeleo bila kupendelea upande wowote.
Amesema kauli hiyo tarehe 01.11.2018...