Mkoa wa Geita unazo fursa mbalimbali za kiuchumi ambazo kimsingi ndizo zimekuwa zikichochea ukuaji wa Sekta ya Viwanda katika Mkoa. Fursa hizo za kiuchumi zimejikita katika shughuli kuu za uzalishaji mali za kilimo, ufugaji, uchimbaji madini ya dhahabu, uvuvi, na biashara ndogondogo.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita
Sanduku la Barua: S.L.P 315
Simu: 028 2520035
Mobile: 028 2520035
barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz
Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa