• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Fursa Zitolewazo na Serikali Kunufaisha Wajasiriamali Wadogo

Posted on: September 23rd, 2025


 Wafanyabiashara wadogowadogo Mkoani Geita wamepatiwa elimu ya fursa zinazotolewa na serikali kupitia Benki ya NMB.

 Akizungumza katika kongamano la wafanyabiashara wadogowadogo Septemba 19 katika ukumbi wa Mkapa Bombambili Geita mjini, Mgeni rasmi Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Dkt.Elfasi Msenya amesema lengo kuu ni kuhakikisha wafanyabiashara wadogo wadogo wanapata elimu ya kuzitambua fursa zinazotolewa na serikali ambapo wafanyabiashara watanufaika na mikopo ya zaidi ya shilingi milioni 80 zinazotolewa na serikali kupitia benki ya NMB.

 Dkt.Msenya amesisitiza kuwa ni jukumu la maafisa maendeleo ya jamii kufanyia kazi maoni, changamoto na ushauri unaotolewa na wafanyabiashara wadogowadogo ili kuhakikisha mazingira ya biashara yanakuwa rafiki.

Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Geita Bi. Martha Kaloso ametoa taarifa hiyo katika kongamano hilo amesema kuwa Mkoa wa Geita umefanikiwa kusajili jumla ya wajasiriamali 1,142 katika mfumo wa urasimishaji kwa ajili ya utoaji wa vitambulisho na utoaji wa mikopo ya asilimia saba iliyotengwa na Serikali kuu tangu zoezi hilo lilipoanza hadi Septemba 2025.

Bi. Martha Kaloso ameongeza kuwa kati ya wajasiriamali hao waliopata mkopo mpaka sasa ni 54 kupitia mkopo wa asilimia saba unaotolewa na Serikali kuu kupitia Benki ya NMB ambao wamepatiwa jumla ya Shilingi Milioni 124. Miongoni mwa walionufaika ni pamoja na mama lishe waliopata shilingi milioni 6.6, machinga shilingi milioni 105 na wajasiriamali wengine wadogo wakipatiwa shilingi milioni 133.

 Kwa upande wake Meneja wa NMB Geita Bw.Daniel Lawia ametoa elimu kwa wafanyabiashara wadogowadogo juu ya namna ya kufanya pindi wanapofuatilia mikopo na amewaomba wafanyabiashara kuepukana na udanganyifu wa maeneo yao ya biashara pindi wanapofuatilia mikopo.

 Mwakilishi wa Shirika la SIDO Mhandisi Cosmas Kinasa limewahimiza wafanyabiashara wadogo kupata ushauri wa kitaalam kuhusu namna bora ya kuendesha biashara.

Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Sekta ya Madini Yapaisha Pato la Taifa- Dkt. Biteko

    September 28, 2025
  • Wadau na Wananchi Geita Waaswa Kuendeleza Sekta ya Madini

    September 25, 2025
  • Fursa Zitolewazo na Serikali Kunufaisha Wajasiriamali Wadogo

    September 23, 2025
  • Wafugaji Waaswa Kujali Afya ya Punda

    September 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa