• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Geita Kupata Maji ya Uhakika Disemba 2025

Posted on: October 21st, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe.Martine Shigela amesema kuwa mradi mkubwa wa Maji Unaotekelezwa kwenye chanzo chake Katika Kijiji Cha Senga Halmashauri ya Wilaya ya Geita utaanza kutoa huduma ya maji ya uhakika mwezi wa Kumi na Mbili baada ya mradi huo kukamilika

Mhe. Martine Shigela ameyasema hayo alipokuwa akikagua utekelezaji wa mradi huo katika Kijiji Cha Senga Oktoba 18,2025

Mkuu wa Mkoa wa Geita ameongeza kuwa Mkandarasi wa mradi huo ametoa maelezo yanayoridhisha na kuwahakikishia wananchi kuwa Mwezi Disemba 2025 Mradi utakuwa tayari kutoa huduma ya maji safi na salama kwa Wananchi.

Mhe.Shigela amefafanua kuwa mradi huu ni miongoni mwa miradi mikubwa unaogharimu zaidi ya Bilioni 144 wenye kuzalisha zaidi ya Lita milioni na kujaza matenki Ili kuhakikisha upatikani wa Maji safi na salama kwa wananchi wa Wilaya ya Geita muda wote.

Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe.Hashim Komba ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta mradi wa Maji kwa Wananchi wa Wilaya ya Geita na kuhakikisha wanapata huduma  ya maji safi na salama kwa urahisi.

Kwa upande wake,Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi Wa mazingira (GEUWASA) Mhandisi Frank Changawa amesema Mradi wa Maji unaotekelezwa katika miji 28 una matenki mawili yenye jumla ya Lita milioni tano na yote yamekamilika,na kuahidi kusimamia mradi huu kikamilifu ili ifikapo Mwezi Disemba 2025 uanze kuhudumia Wananchi kwa kuwapatia maji safi na salama

Mwenyekiti wa Kijiji Cha Senga Paul Benjamin Isaka ameishukuru serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan na kuhaidi kuwa mradi utalindwa na kutunzwa Ili kutimiza malengo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuhakikisha Wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama jirani na makazi yao.




Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Geita Kupata Maji ya Uhakika Disemba 2025

    October 21, 2025
  • Visima 150 Kuwanufaisha Wakulima Mkoani Geita

    October 17, 2025
  • Wakandarasi wa Maji Watakiwa Kukamilisha kazi kwa Wakati

    October 15, 2025
  • Maendeleo yote Yanaletwa na Walimu- Waziri Mkuu

    October 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa