• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UCHIMBAJI WA MADINI YA DHAHABU

Leseni za madini na shughuli za madini

 

Shughuli za Madini zinazofanyika katika Mkoa wa Geita zimegawanyika katika makundi makuu manne (4) ambayo ni Utafiti wa Madini, Uchimbaji wa Madini (Mkubwa, wa Kati na uchimbaji mdogo), Shughuli za uchenjuaji Madini na Biashara ya Madini.

Mkoa wa Geita una jumla ya leseni 2 za uchimbaji mkubwa (Special Mining Licences - SMLs), ambazo ni leseni Na. SML 45/1999 inayomilikiwa na Kampuni ya GGML na LESENI Na. 04/1992 inayomilikiwa na Kampuni ya Backreef Gold Mine Ltd. Aidha Mkoa wa Geita una jumla ya leseni 25 za uchimbaji wa Kati (Mining Licences - MLs), leseni 1574 za uchimbaji mdogo (Primary Mining Licences - PMLs) na jumla ya leseni 215 za Utafiti mkubwa wa Madini (Prospecting Licences -PLs) zilizotolewa katika maeneo mbalimbali ya Mkoa. Aidha jumla ya mitambo ya Uchenuaji – Elution Plants - 38, VAT Leaching Plants - 362 na Mitambo ya CIP - 10 na CIL - 1.

Biashara ya madini

Mkoa wa Geita una Soko Kuu (Mineral House) moja (1) lililoanzishwa rasmi tarehe 17 Machi, 2019 lenye jumla ya wafanyabiashara wakubwa wa Madini (Dealers) 37 na jumla ya Masoko Madogo (Buying Stations) nane (8) yenye jumla ya wafanyabiashara wadogo (Brokers) 67, yaliyoanzishwa katika nyakati tofauti kwenye wilaya za Mbogwe -1, Bukombe -1 Chato -1, Nyang’hwale -1 na Geita – 4. Uanzishwaji wa Masoko ya Madini umekuwa na mchango mkubwa katika kurahisisha biashara ya Madini na ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MTIHANI WA UPIMAJI KITAIFA DARASA LA NNE (SFNA) October 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MTIHANI WA UPIMAJI KITAIFA DARASA LA NNE (SFNA) October 24, 2023
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2023 July 23, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Shigela Afikisha Salamu za Rais Samia kwa Waathirika wa Mvua Chato.

    November 28, 2023
  • RAS Gombati Ana kwa Ana na Balozi Mwanri Kuhamasisha Kilimo Bora cha Pamba Mbogwe-Geita

    November 23, 2023
  • RAS Gombati Ateta na Watumishi Mbogwe,

    November 23, 2023
  • Mbogwe Wapokea Ambulance Mpya kwa Shangwe

    November 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

MAONESHO YA SITA YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI, 2023
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa