Mkoa wa Geita ni Mkoa wenye madini mengi aina ya dhahabu kuliko maeneo mengine nchini Tanzania. Mkoa huu unazo wilaya tano (5) ambazo ni Geita, Nyang’hwale, Mbogwe, Ushirombo na Chato ambapo kimsingi wilaya zote zina Mkoa una Mgodi mkubwa wa Dhahabu (GGML) unaozalisha Dhahabu kwa wingi kwa wakati mmoja kuliko migodi mingine mikubwa ya Dhahabu Tanzania.
Sekta ya madini Mkoani Geita imegawanyika katika makundi makubwa sita:-
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita
Sanduku la Barua: S.L.P 315
Simu: 028 2520035
Mobile: 028 2520035
barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz
Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa