Mkoa wa Geita unajishughulisha na shughuli za Utalii katika zaidi ya maeneo 30 ya kiutamaduni ndani ya Wilaya zote Pamoja na Hifadhi ya Taifa ya Rubondo inayopatikana ziwa Victoria maeneo ya Wilaya ya Geita na Chato.Hifadhi hii ina mazalia ya Samaki, uwepo wa mnyama Nzowe (Statunga), viboko na mandhali nzuri ya picha
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita
Sanduku la Barua: S.L.P 315
Simu: 028 2520035
Mobile: 028 2520035
barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz
Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa