• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bilioni 9.2 Kutekeleza Miradi Mikubwa ya Viwanda, Elimu, Afya na Mazingira Halmashauri ya Mji na Wilaya Geita Mkoani Geita

Posted on: March 6th, 2018

Bilioni 9.2 Kutekeleza Miradi Mikubwa ya Viwanda, Elimu, Afya na Mazingira Mkoani Geita

Serikali Mkoani Geita imekusudia kuanzisha miradi mipya ikiwemo kiwanda cha sukari kutokana na mapato yanayotolewa na mgodi wa dhahabu wa GGM baada ya kuingia mkataba upya na halmashauri ya mji na wilaya ya Geita.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robart Gabriel wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano na kampuni ya uchimbani wa madini ya dhahabu GGM wenye lengo la kuwanufaisha zaidi wananchi wa wilaya ya Geita na mkoa kwa ujumla. Amesema fedha zilizokwisha kutolewa na GGM kwa mwaka huu ni Bilioni tisa pointi mbili ( 9.2) ambapo fedha hizo zitatumika kuanzisha miradi mbalimbali itakayo wawezesha wananchi kujikwamua na umasikini, kujenga kiwanda kikubwa cha sukari ,afya elimu na mazingira.

Ameongeza kuwa fedha hizo zitabadilisha mandhali ya Mji wa Geita pamoja na kuwezesha miradi ya elimu, afya na kuongeza kipato kwa Mkoa wa Geita baada ya kupata kiwanda.

Aidha, ameahidi kusimamia matumizi ya fedha na kuwachukulia hatua kali wale wote watakaotumia fedha hizo kwa matumizi binafsi badala ya jamii na kujenga miundo mbinu ya kisasa.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Shigela Awahamasisha Walimu Kutumia Benki ya NMB

    July 14, 2025
  • Dkt. Kijaji Azindua Chanjo ya Mifugo na Uvikwaji Hereni Kwa Ng'ombe Geita

    July 09, 2025
  • Epukeni Tabia ya Utoroshaji Mapato- RAS Geita

    July 01, 2025
  • Bukombe na Mbogwe Zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

    June 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa