• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bukombe na Mbogwe Zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

Posted on: June 23rd, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mhe.Sakina Jumanne Mohamed amezipongeza  Halmashauri ya wilaya ya Bukombe na Mbogwe Kwa Kupata Hati Safi Miaka Mitatu Mfululizo .

 Akiongoza Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani tarehe 16 Juni 2025 kujadili majibu ya hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa,Mhe Sakina amesema hati safi walizopata halmashauri ya Wilaya ya Bukombe na Mbogwe ni kutokana na ushirikiano mkubwa wa watumishi na Baraza la Madiwani kusimamia nyaraka za mapato na matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mhe. Sakina ameongeza kuwa Baraza la Madiwani kwa kushirikiana na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri hizo waongeze vyanzo vya mapato ikiwemo ujenzi wa stendi,soko na viwanda vidogo vidogo.

Mhe.Sakina Mohamed ametoa wito kwa wakaguzi wa ndani kutoa elimu na ushauri wa namna ya kujibu hoja kwa wakati na kutoa ushirikiano kwa wakaguzi wa nje na sio kuwakwepa wanapokuwa kwenye shughuli ya kukagua nyaraka za matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg.Mohamed Gombati amewasisitiza Wakuu wa Idara na Vitengo  kusimamia nyaraka zote za mapato na matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi na kuongeza ufanisi wa kukusanya mapato na kuibua fursa mpya za kuongeza mapato kwenye halmashauri hizo.

Kwa Upande Wake Mthibiti na Mkaguzi wa hesabu za serikali Wazir Shabani,ametoa mapendezo mbalimbali kwa halmashauri ya wilaya ya bukombe na Mbogwe kuhakikisha wanazifanyia kazi hoja zao kwa wakati ili kuipunguzia kazi ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali, kuongeza mapato kutoka kwenye vyanzo vya mapato  na kukusanya marejesho kutoka kwenye vikundi vya kina mama, vijana na watu wenye ulemavu.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Bukombe na Mbogwe Zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

    June 23, 2025
  • Jamii Yatakiwa Kulinda Haki za Watoto

    June 20, 2025
  • Jamii Yatakiwa Kulinda Haki za Watoto

    June 20, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa