• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bukombe Yapongezwa Ubora-Miradi ya Zaidi ya Bil 9.7

Posted on: August 22nd, 2023

Na Boazi Mazigo- Geita RS

Wilaya ya Bukombe imepongezwa kufuatia utekelezaji na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo, hali iliyopelekea viongozi mbalimbali kutoa wito kwa wataalam kuendelea kusimamia vyema utekelezaji wa miradi ili kupata matokeo chanya.

Hayo yalielezwa Agosti 22, 2023 baada ya Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa Geita kupitia Miradi mbalimbali yenye thamani ya jumla ya shs. 2,974,632,338 katika wilaya hiyo ambapo wajumbe wote kwa pamoja wameeleza kuridhika na usimamizi, ubora na thamani ya matumizi ya fedha.

Akiongea kwa nyakati tofauti akiwa kwenye miradi ya sekta ya elimu, afya, maji na barabara, Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni mwenyekiti CCM Mkoa Geita Nicholaus Kasendamila alisema "niwapongeze sana Bukombe kwa viwango vya ubora, usimamizi na utekelezaji miradi mbalimbali. Nimpongeze pia Mkuu wa Wilaya Mhe.Said Nkumba, Mbunge Dkt.Doto Biteko na Viongozi wengine wote kwa ushirikiano hadi kufanikisha kazi hizi"

Kasendamila aliongeza kuwa, ni vyema kila mahala wanapojiwekea utaratibu ufuatwe ili uweze kuwasaidia vinginevyo, ni ngumu kufikia malengo.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya Bukombe Mhe.Said Nkumba kwaniaba ya wanabukombe aliwashukuru na kuwapongeza viongozi wenzake kwa kufanikisha utekelezaji mzuri wa miradi, huku akisisitiza kuwa, ubora wa miradi huo unatokana na utaratibu waliojiwekea wa ununuzi wa baadhi ya vifaa kwa pamoja hali inayopelekea miradi yote kuonekana ya ubora unaofanana na kusisitiza kuwa wataendelea kuusimamia kwani umeonesha tija ya utekelezaji

Kwaniaba ya mkuu wa mkoa geita, Mhe.Cornel Magembe ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya geita, naye aliungana na viongozi wengine kuipongeza Bukombe kwa jinsi ilivyojidhatiti kuwatumikia wananchi wake kupitia usimamizi wa miradi mbalimbali wilayani humo.

Naye Bi.Neema Mbuliga mkazi wa Mtakuja alisema, "tunaishukuru sana serikali yetu pendwa, tunamshukuru Sana Rais wetu Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, na mbunge wetu Mhe.Dkt.Doto Biteko pamoja na viomgozi wote wilayani hapa kwa kupigania maendeleo hadi kutuletea miradi mbalimbali ukiwemo huu wa maji kupitia RUWASA. Tunaamini mahusiano ya familia zetu yataimarika sasa pamoja na afya zetu lakini pia mmetutua ndoo kichwani"

Mwisho, kamati hiyo itaendelea na ziara yake Angostura 23, 2023 katika wilaya ya Mbogwe na kisha wilaya nyingine zote za mkoa wa Geita.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa