• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dkt. Kijaji Azindua Chanjo ya Mifugo na Uvikwaji Hereni Kwa Ng'ombe Geita

Posted on: July 9th, 2025



Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt.Ashatu Kijaji amezindua zoezi la Chanjo ya Homa ya Mapafu kwa Ng'ombe Mkoani Geita Pamoja na Zoezi la Uvikwaji wa Hereni kwa Ng'ombe tarehe 6 Julai 2025.


Uzinduzi huo umefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Chato na Bukombe lengo likiwa ni Kupandisha thamani ya Mifugo na Kuachana na utaratibu wa Kuwagonga mihuri ya moto kwenye ngozi.


Dkt. Kijaji ametoa wito kwa wafugaji kujitokeza kupeleka mifugo yao kupata chanjo ili mifugo hiyo iwe na thamani na kuweza kuuzwa nje ya Nchi. Pia ameongeza kuwa uchanjaji wa mifugo utakuwa ni bure ambapo chanjo zinazotolewa ni pamoja na chanjo ya homa ya mapafu,Sotoka kwa mbuzi,chanjo kwa London na chanjo ya kideli kwa kuku na bata.


Kwa Upande Wake Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe.Martine Shigela, amesema mkoa wa Geita una takribani ng'ombe milioni moja na laki mbili  pamoja na wataalam wa mifugo wa kutosha ambao wapo kwa ajili ya  kutoa huduma ya chanjo nyumba kwa nyumba kwa lengo la kuongeza thamani ya mifugo mkoani Geita.


Akizungumza kwa niaba ya Maafisa Mifugo Mkoa wa Geita Dr.Sosthenes Nkombe,amesema zoezi la uvikwaji wa hereni kwa ng'ombe litasaidia kufanya usajili wa  kidijitali wa kujua idadi ya ng'ombe anazomiliki mfugaji kwa kuzingatia umri,jinsia,rangi na picha ya ng'ombe kwa kutumia namba iliyoandikwa kwenye hereni.

Pia zoezi la uvikwaji wa Hereni kwa Ng'ombe itaondoa changamoto ya wezi wa mifugo.

Wafugaji wa Mkoa wa Geita wameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuwawezesha kupata chanjo hususani ya homa ya mapafu kwa ng'ombe ambayo iliwatesa kwa muda mrefu.


Kampeni ya chanjo ya Ng'ombe na Uvikwaji wa Hereni inaongozwa na kauli mbiu isemayo"Ufugaji Maisha Yetu"




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Dkt. Kijaji Azindua Chanjo ya Mifugo na Uvikwaji Hereni Kwa Ng'ombe Geita

    July 09, 2025
  • Epukeni Tabia ya Utoroshaji Mapato- RAS Geita

    July 01, 2025
  • Bukombe na Mbogwe Zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

    June 23, 2025
  • Jamii Yatakiwa Kulinda Haki za Watoto

    June 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa