• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dkt. Kijazi Aahidi Ushirikiano Utatuzi wa Changamoto za Ardhi GEITA.

Posted on: January 27th, 2022

Katibu mkuu wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi  Dkt.Allan Kijazi ameuhakikishia uongozi wa mkoa wa geita kuwa, wizara itaendelea kutoa ushirikiano kwao ili kutatua changamoto mbalimbali za ardhi zinazoukabili mkoa huo ili kwa pamoja kuwaondolea wananchi kero na adha zitokanazo na migogoro ya ardhi.

Hayo yamesemwa leo januari 27, 2022 wakati katibu mkuu huyo alipowasili ofisi ya mkuu wa mkoa wa geita katika ziara yake ya kikazi kukutana na watendaji wa ardhi wa mkoa wa Geita huku akisisitiza ofisi za halmashauri kushirikiana katika ukusanya maduhuli ya serikali kupitia makusanyo yatokanayo na ardhi.

“kwanza nikupongeze Mhe.Senyamule kwa kazi nzuri, lakini nikuahidi ushirikiano kutoka kwenye wizara ya ardhi katika kutatua changamoto mbalimbali za ardhi, lengo kuu ikiwa ni kuwasaidia wananchi kuondokana na migogoro mbalimbali ya ardhi, hivyo hili ni jukumu letu sote. Vilevile niombe kupitia ofisi hii kuwahimiza halmashauri za mkoa huu kuendelea kushirikiana na watumishi wa ardhi kukusanya maduhuli ya serikali ili kwa pamoja tuijenge nchi na kujiletea maendeleo”, alisema Dkt.Kijazi

Naye mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amemshukuru Dkt.Kijazi kwa kufika ofisini kwake kisha kumueleza changamoto za ardhi mbalimbali zinazoukabili mkoa wa geita huku akieleza namna mkoa ulivyojizatiti kutunza mazingira kwa manufaa ya maisha ya sasa na baadaye kwa mstakabari wa taifa la Tanzania.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa