• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Geita Kumaliza Operesheni Anwani ya Makazi Aprili 15, 2022

Posted on: February 14th, 2022

Mkoa wa Geita umezindua Operesheni Anwani ya Makazi yenye kaulimbiu “Mfumo wa Anwani za Makazi kwa Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi” yenye lengo la kuwezesha ufanisi wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kuanza mwezi Agosti 2022, lakini pia ikiwa ni njia ya kurahisisha ufikiwaji wa wanachi kwa urahisi hivyo kuchangia kasi ya maendeleo.

Akiongea na watendaji pamoja na wananchi wa Nyankumbu mjini Geita, mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amewataka watendaji kuhakikisha wanafanikisha zoezi hilo kwa kasi na kwa ufanisi tena kwa kutumia rasilimali zilizopo ili kufanikisha zoezi huku akisisitiza kuwa zoezi hilo kimkoa likamilike kufikia tarehe 15 Aprili, 2022.

“kwanza tumshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa uthubutu wa kuanza kutekeleza jambo hili kwani kwa miaka yote tumekuwa tukifanya sensa ya watu bila makazi, lakini kwa hatua hii tutasonga mbele. Pia, niwaombe wananchi kuwa tayari kwani baada ya uzinduzi huu kutakuwa na wiki moja ya kutoa elimu, kisha kuchagua majina na kuyabandika kwenye Mitaa. Muhimu, ni kuhakikisha wakurugenzi mnatumia rasilimali zilizopo ili kufanikisha zoezi hili ndani ya miezi miwili kutoka tarehe ya leo”. Alisema Mhe.Senyamule kisha kuzindua kwa kukata utepe kwenye nyumba ya Bi. Edina Kabyemela, Mwananchi wa Mtaa wa Uwanja, Kata ya Nyankumbu-Halmashauri ya Mji Geita.

Awali, Mhe.Senyamule aligawa mfano wa vibao vyenye namba zitakazotumika kuwekwa kwenye kuta za nyumba kwa Wakurugenzi wa halmashauri za mkoa wa Geita, ishara ya kuanza utekelezaji wa zoezi hilo kwenye halmashauri wanazozisimamia, zoezi lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa EPZA-Mjini Geita.


Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa