• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Geita Mji wa Kwanza Kitaifa, Mkoa wa Geita wa Pili Kitaifa Ukusanyaji wa Mapato – Atangaza Waziri Jafo

Posted on: October 5th, 2018

Mkoa wa Geita umekua miongoni mwa mikoa vinara mitatu iliyoongoza nchi nzima katika ukusanyaji wa mapato kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Hayo yamebainishwa na Mhe. Seleman Jafo (Mb), Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI alipokuwa akisoma Taarifa ya Hali ya Ukusanyaji wa Mapato Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Jijini Dodoma tarehe 05.10.2018 iliyoonesha kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zimekusanya Kiasi cha Shilingi 553,390,075,912/= kati ya shilingi 687,306,661,000/= sawa na asilimia 81 ya lengo.

Waziri Jafo ameanza kwa kusema, “tulizoea kutajiwa shule na wanafunzi waliofanya vizuri na vibaya kwa mitihani ya darasa la saba, kidato cha nne cha sita, lakini sasa tumeona ni vyema tuujulishe umma wa Watanzania kuwa Halmashauri zetu zimekusanya kwa kiwango gani mapato yatakayowezesha huduma kurudi kwenye jamii, na hili litakuwa fundisho kwa wasiofanya vizuri”.

Mhe. Jafo amezitaja Halmashauri zilizoongoza katika makusanyo akiitaja Halmashauri ya Mji Geita kama Halmashauri iliyoongoza kwa ujumla kitaifa kwa kukusanya Shilingi 6,863,169,216/= kati ya lengo la kukusanya shilingi 3,150,910,000/=sawa na asilimia 218

Kwa upande mwingine, Mhe. Jafo ameutaja Mkoa wa Geita kama Mkoa wa Pili Kitaifa kwa kukusanya mapato yake kwa kufikia asilimia 104, hii ikiwa na tafsiri kuwa, Halmashauri 6 za Mkoa wa Geita zimepelekea matokeo  mazuri kimkoa.

Amemaliza taarifa yake kwa kutoa maagizo kuwa, asilimia 81 iliyopatikana kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ndiyo kitakua ni kipimo na kwamba mapato ya Halamshauri zote nchini kwa mwaka wa fedha 2018/2019 yasishuke chini ya asilimia 81 na kwamba kitakuwa ni kipimo cha Mkurugenzi wa Halmashauri kuona kama anastahili kubaki kwenye nafasi hiyo.

Kufuatia taarifa hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Gabriel ameipongeza Halmashauri ya Mji Geita Kwa Kushika nafasi ya kwanza Nchi nzima na vilevile kupongeza juhudi zilizofanywa na zinazoendelea kufanywa na Halmashauri za Mkoa wa Geita katika kukusanya mapato.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa