• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

Posted on: July 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Martine Shigela ametoa pongezi kwa Halmashauri Sita za Mkoa wa Geita ambazo ni Bukombe, Chato, Nyang’hwale, Geita Mji na Geita wilaya kwa kupata hati safi kutokana na taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali ( CAG) iliyoishia mwezi Juni 2023.

Mhe. Shigela ametoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti hivi karibuni alipokuwa akizungumza katika vikao maalum vya Baraza la Madiwani vilivyofanyika katika Halmashauri hizo kwa ajili ya kupitia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali.

Mkuu wa Mkoa wa Geita amewashauri viongozi na wataalam katika Halmashauri hizo kuweka ratiba ya vikao vya kujadili hoja za mkaguzi ili kupunguza idadi ya hoja zoezi la uhakiki linapoanza.

“Kuna baadhi ya watendaji na wakusanya mapato ambao wamejenga desturi ya kukaa na fedha mbichi ya Serikali mikononi badala ya kupeleka benki, watu wa namna hii wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kisheria na sio vinginevyo.”Aliongeza Mhe. Shigela.

Mkuu wa Mkoa wa Geita alitumia fursa hiyo kuwaasa waheshimiwa Madiwani na wataalam wa Halmashauri zote kuendelea kuimarisha upendo, umoja na mshikamano ili Halmashauri zao ziendelee kustawi vizuri.


Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakiwa katika kikao cha kujadili Taarifa ya Mdhibiti & Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ndugu Mohamed Gombati amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Geita kwa usimamizi makini uliofanikisha Halmashauri zote za Mkoa kupata hati safi pamoja na kuzishauri Halmashauri hizo kuhakikisha wnazingatia sheria, kanuni na taratibu ili kupunguza uzalishaji wa hoja.


Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa