• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Idara ya Utawala na Rasiliamali Watu Kuja na Mkataba wa Huduma kwa Mteja.

Posted on: October 6th, 2018


katika kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza wakati wa utoaji huduma kwa wananchi, watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu Sekretarieti ya Mkoa wa Geita wameketi kikao, kisha kuja na mpango wa kuwa na mkataba utakaoainisha mambo yatakayoiongoza idara kufikia malengo ya kuwahudumia wananchi kwa wakati ili kuwaepushia kero mbalimbali wanapopokea huduma, Kikao kilichofanyika tarehe 05.10.2018 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Akifungua kikao hicho, Katibu Tawala Msaidizi, Utawala na Rasilimali Watu na  Mkuu wa Idara hiyo Bw.Herman Matemu  amesema, lengo la kikao hicho cha kila mwisho wa mwezi ni kujadili na kuja na suluhisho la changamoto katika maeneo mbalimbali ya utendaji, ikiwa ni katika kuweka mazingira mazuri kwa watumishi kuwawezesha kutoa huduma katika nzuri kwa wananchi kisha akawapongeza kwa mahudhurio mazuri ya kikao ilihali wakiwa na majukumu mengi ya kutekeleza.

Amesema,“tutakuwa na mkataba wa huduma kwa mteja ambao utatuongoza katika kumhudumia mwananchi na ni imani yangu kuwa tutakayokubaliana tutayatekeleza ili kuleta matokeo chanya”.

Kwa upande wake Afisa Tawala Mkuu, Bw. Masoud Biteyamanga amewakumbusha watumishi juu ya kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni (STK) kwakuwa ndiyo dira ya mtumishi awapo kazini.

Naye Afisa Tawala Bi. Beatrice Masanja amewakumbusha watumishi juu ya kuwa na mahusiano mazuri na ushirikiano ambapo kwavyo ni rahisi kuonesha matokeo kwani bila mahusiano mazuri kazini ni vigumu kufikia malengo idara iliyojipangia.

Mwisho, watumishi wengine walitoa maoni yao wakisisitiza suala la heshima baina ya watumishi pamoja na kusaidiana kwa yeyote atakayekwama katika suala zima la utekelezaji wa majukumu ya kila siku, lengo ikiwa ni kufanikiwa.

Miongoni mwa watumishi wa idara hiyo waliohudhuria ni pamoja na Madereva, Watunza Kumbukumbu, Wahudumu, Makatibu Muhtasi pamoja na Afisa Habari.




.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa