• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI MKOANI GEITA WATAKIWA KUSHIRIKI KATIKA UTATUZI WA KERO

Posted on: May 2nd, 2017

VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI  MKOANI GEITA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MAMLAKA / VIONGOZI WENYE DHAMANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga ametoa wito kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi Mkoani Geita kushirikiana na mamlaka au viongozi husika wa wafanyakazi wenye dhamana ya kutafuta majawabu ya changamoto zinazowakabili wafanyakazi.

Mkuu wa Mkoa amesema hayo katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo kimkoa imefanyika katika Uwanja wa CCM Kalangalala mjini Geita na kushirikisha watumishi mbalimbali wa Serikali na Sekta binafsi."Nimesikiliza risala yenu masuala mliyowasilisha ni ya msingi sana kwa maslahi na ustawi wa wafanyakazi wa Mkoa wetu, changamoto na kero hizi naamini baadhi zipo ndani ya uwezo wenu ninyi kama chama cha wafanya kazi katika kuzitafutia majawabu.Vyama vya wafanyakazi vipo kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa Umma, na viongozi wakekwa kushirikiana na waajiri mnayo dhamana kubwa ya kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wafanyakazi".

Aidha, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa waajiri wote katika Mkoa wa Geita kuhakikisha wanafanya rejea ya masuala mbalimbali ya kiutumishi kuhusu haki na maslahi ya wafanyakazi na kuyafanyia kazi kikamilifu ili kuondoa changamoto na kero zisizo na ulazima. Pia amewataka watumishi kutimiza wajibu wao kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea wananchi maendeleo na kutatua kero zao kwa wakati na kujiepusha kabisa na vitendo vya kutoa na kupokea Rushwa

Magesa Jumapili (Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita)


Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa