• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA AZINDUA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA GEITA

Posted on: May 24th, 2017

KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA AZINDUA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA MKOANI GEITA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ndugu Selestine Gesimba amezindua huduma za madaktari bingwa mkoani Geita na kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma hizi muhimu kwa maendeleo ya afya zao.

Akizungumza katika uzinduzi huo ambao umefanyika katika hospitali Teule ya Mkoa wa Geita Gesimba ametoa rai kwa watumishi wa Hospitali hiyo ambao watapata fursa ya kushirikiana na madaktari bingwa kujifunza mbinu mpya ili baadae wawasaidie wananchi wenye matatizo mbalimbali ya afya.  ’’Uwepo wa madaktari bingwa awa katika hospitali yetu ya mkoa ni fursa nzuri sana kwa wataalamu wetu kujifunza mbinu mpya za utoaji wa huduma za matibabu pasipo kwenda kujifunza mbinu hizo nje ya maeneo ya kazi. Hivyo, natoa rai kwa wataalam wetu wote watakaoshirikiana moja kwa moja na mabingwa awa katika utoaji wa huduma, kutumia nafasi hiyo kujifunza kutoka kwao ili hata watakapoondoka mbakie na ujuzi wa kuwahudumia wananchi wetu’’.

Aidha,  amewataka wananchi kutumia fursa hiyo kwa kujitokeza kwa wingi  na kufanyiwa uchunguzi ili wapate huduma bora kwa kuwa huduma hizi zinapatikana mbali na maeneo yao kwa gharama kubwa. Pia amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa kuhakikisha anafanya tathimini ya vifaa katika Hospitali na vituo vya afya vyote ili kuona namna ya kupata mkopo wa vifaa tiba kutoka Mfuko wa taifa wa bima ya afya na kuboresha huduma katika Hospitali na vituo hivyo.

Awali akimkaribisha Katibu Tawala Bi. Aifena Mramba Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF ambaye pia ni Mkurugenzi wa tiba wa NHIF amesema kuwa Mfuko huo umeona umehimu wa kupeleka huduma za madaktari bingwa karibu na wananchi ili wapate huduma hizo kwenye maeneo yao pasipo kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo. Aidha Mfuko huo umetoa mashuka 100 kwa ajili ya wodi za hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita. Jumla ya madaktari bingwa 8 wa aina tofauti za magonjwa wanatoa huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa