• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mamia Washiriki Kumzika Bibi. Monica, Dada wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli- Chato

Posted on: August 21st, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameongozana na mamia ya waombolezaji katika kuusitiri mwili wa marehemu dada yake Bibi. Monica Joseph Magufuli (miaka 63) nyumbani kwake kijiji cha Mlimani Wilayani Chato Mkoani Geita tarehe 21.08.2018.

Kipekee, Mhe. Dkt. Magufuli amewashukuru viongozi na wananchi mbalimbali waliojitokeza kushiriki katika ibada ya mazishi ya dada yake mpendwa bila kumsahau shemeji yake na mme wa marehemu ndugu. Stanslaus Madulu kwa kukubali kumruhusu marehemu Monica kukaa na mama yake mzazi kabla ya umauti kumfika, kisha kuwaongoza kuaga mwili wa marehemu pamoja na mazishi ya dada yake.

Amesema, “ na hili leo nataka niwaambie kitu cha pekee alichokuwa nacho Monica; pamoja na kutambua kuwa alikuwa na mume wake, watoto tisa na wajukuu ishirini na tano, aliamua kuja kukaa na mama. Akamuomba mume wake na mume wake akaridhia; nami kwa heshima kubwa namshukuru sana shemeji yangu kwa kumruhusu dada yetu kuwa anakuja kukaa na mama kitu ambacho kwa wanaume wa kisasa ni kigumu”. Hivyo Monica amekuwa wa pekee sana kwa maisha ya familia na kifo chake kimeniachia maswali ambayo siwezi kuyajibu kwa urahisi kwa mama.”alimaliza.

Baada ya mazishi, Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais Ikulu ndugu. Gerson Msigwa kwa niaba ya familia ya Mhe. Dkt. Magufuli alisoma wasifu wa marehemu, kisha kutoa shukrani kwa wote walioweza kushiriki tukio hilo.

Miongoni mwa walioshiriki ibada hiyo ya mazishi ni pamoja na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa, Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Wahe. Marais Wastaafu, Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Raila Amolo Odinga, Mwakilishi wa Rais wa Burundi, Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wahe. Mawaziri, Wahe. Wakuu wa Mikoa, Wahe. Wabunge, Wahe. Wakuu wa Wilaya, Maaskofu, Mabalozi, Viongozi wa Chama Tawala CCM, Katibu Tawala wa Mkoa, Wahe. Wenyeviti wa Halmashauri, wakurugenzi, Wakuu wa Idara na wananchi.




Marehemu ameacha mgane, watoto tisa, na wajukuu ishirini na tano. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe.



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa