• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mbogwe Wapokea Ambulance Mpya kwa Shangwe

Posted on: November 23rd, 2023

Na Boazi Mazigo, Geita RS

Mkuu wa mkoa Geita Mhe.Martine Shigela amekabidhi na kuzindua gari la wagonjwa (ambulance) na kuelekeza Halmashauri kuhakikisha gari hiyo linafanya kazi iliyokusudiwa hususan kuokoa maisha ya wananchi, inatunzwa na kutengenezwa kwa wakati ili kutimiza adhma ya serikali ya kuwahudumia wananchi.

Amekabidhi gari hiyo Novemba 23, 2023 wakati wa ziara yake ya kikazi katika kituo cha afya masumbwe kilichopo Halmashauri ya wilaya mbogwe huku akiwakumbusha watumishi wa afya kuendelea kuwahudumia wananchi kwa lugha za staha na kwamba serikali inawathamini sana.

"tunamshukuru rais wetu mhe.dkt.Samia Suluhu Hassan na jinsi anavyotuonesha upendo kwa kuiboresha sekta ya afya kupitia miundombinu, vifaa tiba pamoja na watumishi na leo tunakabidhi na kuzindua gari la wagonjwa. Gari hii itunzwe na ifanye lengo kusudiwa kuwahudumia wananchi, hivyo faraja ya kiongozi aliyetoa gari hii yenye vifaa vya kisasa ni kuona linatunzwa", alisema RC Shigela.


RC Shigela alimaliza kwa kukata utepe ishara ya kuzindua gari hiyo na kuupongeza uongozi wa wilaya akiamini kuwa itatunzwa.

Kwa upande wake mganga mkuu mkoa Dkt.Omari Sukari alisema, gari hiyo ni kati ya gari sita zitakazoletwa Geita ambapo kwa awamu ya kwanza mkoa huu uliletewa gari mbili kwa ajili ya wilaya ya Nyang'hwale na Mbogwe na kwamba serikali pia imetoa gari 5 kwa ajili ya ufuatiliaji shughuli za afya, hivyo kuendelea kuipongeza serikali kwa kuwajali wananchi kwakuwa jambo hilo husaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga.

Mwisho, Mkuu wa wilaya hiyo Mhe.Sakina Mohamed alimshukuru Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan kufuatia fedha na uwekezaji mwingi unaofanyika mbogwe kuanzia miundombinu, watumishi na vifaa kisha kuahidi kutunza vifaa vyote ikiwemo gari hiyo na kwamba itafanya kazi iliyokusudiwa.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa