• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA ATEMBELEA HOSPITALI TEULE YA MKOA ASALIMIA WAGONJWA-GEITA

Posted on: November 3rd, 2017

MKUU WA MKOA ATEMBELEA HOSPITALI TEULE YA MKOA WA GEITA ASALIMIA WAGONJWA

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel amefanya ziara katika Hospitali Teule ya Mkoa wa Geita ili kujionea hali ya utoaji wa huduma kwa Wananchi pamoja na kusalimia wagonjwa na kutambua mahitaji muhimu yaliyopo katika  Hospitali hiyo.

Akiwa Hospitali hapo Mkuu wa Mkoa ametembelea na kukagua ujenzi wa wodi ya watoto wachanga (wenye umri chini ya siku 28) na watoto njiti (neonatal and  Premature ward) ambayo ujenzi wake umefikia hatua ya lenta ikiwa na uwezo wa kuhudumia watoto 40, kutembelea wodi za wagonjwa, kukagua chumba cha X-Ray, chumba cha upasuaji, Stoo ya dawa, maabara, na chumba cha damu salama.

Mkuu wa Mkoa ameridhishwa na uwepo wa dawa za kutosha pamoja damu salama katika Hospitali hiyo, hata hivyo ameagiza ifanyike kampeni maalumu ya kukusanya damu ili kuwa na akiba ya kutosha kwa ajili ya kuhudumia wananchi wengi wakati wa matukio makubwa ya ajali.

Aidha, ameridhishwa na uwepo wa vitanda vingi vya wagonjwa vizima na vinavyohitaji matengenezo katika wodi  na stoo, hivyo ameeleza kuwa Mkoa una kampeni ya ujenzi wa Zahanati 200 katika vijiji ambayo itaanza wiki ijayo. baada ya kukamirisha ujenzi vitanda vitatengenezwa na kupelekwa katika Zahanati hizo.

Mheshimiwa Robert Gabriel ametoa wito kwa wananchi kuwa na imani na Madaktari na wauguzi kwasababu ni wataalmu na wanajua kazi zao za kuhudumia wagonjwa kama kuna tatizo wasisite kutoa taarifa kwa uongozi. Hata, hivyo Mkuu wa Mkoa amewapongeza madaktari kwa kazi nzuri ya kutoa huduma kwa wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwapa ushirikiano wakati wote wa kutekeleza majukumu yao.

Na:Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa