• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rais Magufuli Afungua Tawi Jipya la Benki ya CRDB Chato Mkoani Geita

Posted on: March 9th, 2018

Rais  Magufuli Afungua Tawi la Benki ya CRDB Chato Mkoani Geita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefungua tawi jipya la Benki ya CRBD Wilaya ya Chato Mkoani Geita awapongeza kwa kuwa na zaidi ya matawi 250.

Akiwahutubia wananchi wa Chato Mheshimiwa Rais ameipongeza Benki ya CRDB kwa kutoa ajira ambapo wameajiri zaidi watumishi 3200 na kufikia mwaka kesho wataajiri watumishi wengine  800  hivyo kufanya idadi ya waajiriwa wa benki hiyo kufikia zaidi ya 4000.

Ameongeza kuwa serikali ya awamu ya tani inaunga mkono juhudi hizo kwa kuwa benki imejibu ilani ya Chama Cha Mapinduzi.  Aidha, amewataka wananchi wa Wilaya ya Chato na Mkoa wa Geita kuitumia benki ya CRDB kwa kuwa inaaminika na huduma zake ni nzuri na itaimarisha usalama wa fedha zao kwa maendeleo ya taifa.

Mheshimiwa Rais ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwa kazi nzuri ya kuchukua hatua kwa benki ambazo maendeleo yake sio mazuri na ameitaka BOT kuchukua benki hizo kwa kuwa serikali haitatoa ruzuku,ameiomba CRDB kuchukua benki hizo na kupunguza riba ili wananchi waweze kukopa kwa maendeleo yao.

Akiwa Wilayani Chato Mheshimiwa Rais Magufuli amesema kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kujenga meli kubwa mpya ambayo itafanya kazi ndani ya Ziwa Victoria kwa gharama ya shilingi bilioni 35.

Vile vile amewataka watanzania kuacha tabia ya kuandika mambo mabaya kuhusu serikali bali watangulize uzalendo kwa kutangaza mambo mazuri yanayofanywa na Serikali.

Awali akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Ashatu Kijaji amesema kuwa Nchi ya Tanzania inaongoza kwa huduma za Kibenki Afrika na ni ya Sita duniani.

Kufunguliwa kwa Tawi la Benki ya CRDB Wilayani Chato kutatoa fursa ya wananchi kupata huduma za kibenki karibu na maeneo yao kwa kutunza fedha na kukopa mitaji kwa ajili ya maendeleo.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa