• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rais Magufuli azindua Barabara ya Kilometa 45 ya Uyovu - Bwanga Mkoani Geita

Posted on: March 10th, 2018

Rais Magufuli Azindua Barabara yenye Urefu wa Kilometa 45 ya Uyovu - Bwanga Mkoani Geita 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli amezindua barabara ya kiwango cha lami ya Uyovu - Bwanga yenye urefu wa Kilometa 45 yenye thamani ya shilingi bilioni 47.

Amewataka wananchi kuacha vitendo vya kuhujumu miundombinu ya barabara kwa kuacha tabia ya kupitisha mifugo na kutochiamba maeneo ya barabara kwa kuwa vitendo hivyo vinaharibu barabara.

Ameipongeza Wizara ya Ujenzi kwa kazi nzuri ya usimamizi wa ujenzi wa barabara hiyo ambayo itarahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji wa mizigo kutoka Mkoa wa Geita, Kagera, Mwanza, shinyanga na maeneo mengine ya nchi.

Akiwa katika Eneo la Uyovu Wilayani Bukombe Mheshimiwa magufuli ametumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi wa Bukombe kwa kumpigia kura nyingi amewataka washirikiane vyema na viongozi wazuri wa Mkoa wa Geita kuanzia Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi ambao kwa pamoja wanafanya kazi nzuri ya kuwatumikia wananchi wa Mkoa wa Geita

Ameongeza kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tano zinazokuwa kwa kasi kiuchumi, Serikali inatekeleza miradi mikubwa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi kama uwekezaji katika miundombinu ya reli na barabara pamoja na elimu na afya ambapo katika bajeti ya mwaka 2018 shilingi bilioni 266 zitatumika katika sekta ya afya.

Amesisitza suala la amani kwa wananchi wote ili wapate maendeleo "nitasimamia na kulinda Amani kwa nguvu zangu zote watanzania na viongozi wa dini, siasa tusimame pamoja katika hili kwa kuwa pasipo na amani hakuna maendeleo.

Matangazo

  • MAONESHO YA NANE YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI 2025 August 14, 2025
  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Zaidi ya Vijana Zaidi ya 12,000 Kujikwamua Kiuchumi Kupitia EACOP

    August 19, 2025
  • GESECO Kinara Mtihani wa Mock Kidato cha NNne Kanda ya Ziwa

    August 19, 2025
  • Serikali Yatoa Zaidi ya Bilioni 40 Kujenga Miundombinu ya Umwagiliaji Geita& Mwanza

    August 12, 2025
  • UZINDUZI WA DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KATIKA MANISPAA YA GEITA

    August 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa