• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rais Samia Miongoni mwa Marais Shujaa Duniani-Asema RC Shigela.

Posted on: July 25th, 2023

Na Boazi Mazigo-Geita RS

Geita umekuwa miongoni mwa mikoa iliyoadhimisha siku ya kumbukumbu ya mashujaa ambayo hufanyika kila ifikapo Julai 25 ya kila mwaka ambapo mkuu wa mkoa Geita Mhe.Martine Shigela ametumia nafasi hiyo kuongoza wakazi wa mkoa huu kuwakumbuka mashujaa mbalimbali wa Tanzania wakiwemo kutoka Geita na kuwapongeza mashujaa wengine ambao hawatokani na jeshi, lakini pia kuipongeza serikali na watanzania wote kuendelea kuienzi misingi ya kuwakukmbuka wapiganaji wa nchi hii kwani wametoa uhai wao kwa ajili ya wengine.


Ameyasema hayo Julai 25, 2023 katika uwanja wa Mashujaa uliopo mjini Geita baada ya kushiriki zoezi la usafi na upandaji miti eneo la uwanja wa mashujaa na kumpongeza Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa miongoni mwa Mashujaa wa Dunia na Tanzania kutokana na namna anavyoliongoza Taifa licha ya kupokea kijiti cha uongozi baada ya kumpoteza aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano.

“tukiwa tumekusanyika hapa kwa ajili ya kuwakumbuka mashujaa wetu, tambueni yakuwa, Mhe.Rais Samia ni  miongoni mwa Marais Shujaa duniani na ndiyo maana tunaendelea kusonga mbele. Sisi wanageita tunajivunia kuwa na mashujaa wengine pia ambao ni waokozi wa afya za watu yani madaktari, wauguzi, walinzi wa Amani (askari), waalimu ambao hutupa wataalam ikiwa tu hutimiza majukumu yao ipasavyo”. Alisema RC Shigela kisha kuiagiza halmashauri ya mji Geita kuhakikisha inalitunza eneo hilo la mashujaa na kulifanyia usafi ili liwe katika hali nzuri

RC Shigela aliongeza kuwa, “ni vyema kila mmoja ajitoe kwa taifa lake ili tuendelee kusonga mbele na tuitumie siku hii kuwaombea dua mashujaa waliotangulia mbele za haki na kwa wale ambao bado wako hai, tuwaombee afya njema”


Kwa upande wake Katibu tawala mkoa Geita Prof.Godius Kahyarara kwa alisema, “siku ya leo itumike kuwakumbuka wenzetu walipigana kwa ajili ya wengine na kuendeleza utamaduni huo”

Naye Manjale Magambo ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa kwaniaba ya CCM alisema, “kwaniaba ya CCM niseme, huwezi kuitenganisha siku hii na CCM kwakuwa ukombozi wa nchi hii unahusiana na chama hiki. Tumetoka kwenye vita na kupigania uhuru, lakini chini ya jemedari Mhe.Rais Samia sasa tunapigania ukombozi wa kiuchumi”

Shughuli hii ilihitimishwa kwa dua na sala kwa viongozi wa dini na ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali, wakuu wa taasisi za umma na binafsi bila kusahau vijana wa jeshi la akiba.





Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa