• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RAS Gombati Ateta na Watumishi Mbogwe,

Posted on: November 23rd, 2023

Na Boazi Mazigo, Geita RS

Katika mwendelezo wa ziara yake kutembelea miradi na kuongea na watumishi, Katibu tawala mkoa Geita Bw.Mohamed Gombati amekutana na kuzungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya mbogwe ili kuwa na mwelekeo wa utekelezaji majukumu ya serikali

Akizungumza wakati akihitimisha kikao chake akiwa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo Novemba 23, 2023 Bw.Gombati alisema, ni muhimu watumishi kuzingatia nidhamu na maadili katika utendaji wa kazi.

"ninawashukuru kwa michango na maoni yenu, ni  vyema niwakumbushe kufanya mambo nane yafuatayo ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora, kuwa watiifu kwa serikali, kuwa na bidii ya kazi, kutoa huduma bila upendeleo, kufanya kazi kwa uadilifu, kuwajibika kwa umma, kuheshimu sheria pamoja na matumizi sahihi ya taarifa kama mtumishi", alisema bw.Gombati.

Alimaliza kwa kusisitiza juu ya viongozi kuanzia ngazi ya kijiji kuhakikisha wanasoma taarifa ya mapato na matumizi, maafisa kilimo kuhakikisha wanatimiza lengo la uzalishaji zao la pamba litakaloiwezesha Halmashauri kufikia tani milioni 20 ndani ya miaka miwili, kukusanya mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuiwezesha Halmashauri kuendelea kuboresha maslahi ya watumishi na utekelezaji miradi ya Maendeleo

Kwa upande wake katibu tawala wilaya hiyo dkt.Jacob Rombo aliwakumbusha watumishi hao kutimiza wajibu wao ipasavyo kwa kusimamia miradi na kukusanya mapato.

Mwisho, kaimu mkurugenzi wa Halmashauri hiyo bw. Gerlad Nyaruga alisema, maelekezo yote yaliyotolewa ahakikisha yanafanyiwa kazi na kwamba wamejipanga kuhakikisha kwakuwa ni msimu wa kilimo wanaimarisha lishe kwa kuhakikisha shule zinakuwa na mashamba ili kuendelea kutoa chakula shuleni.





Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa