• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC Gabriel Atembelea Banda la Mkoa wa Geita la Maonesho ya Sabasaba 2018

Posted on: July 5th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Mhandisi Robert Gabriel ameendelea kunadi fursa za Mkoa wa Geita alipotembelea banda la Mkoa huu kwenye Maonesho ya 42 Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Akiwa kwenye banda hilo, Mhe. Mhandisi Gabriel amewahamasisha wadau wa biashara na wawekezaji kushiriki katika Jukwaa la Biashara la Mkoa wa Geita ambalo litafanyika kuanzia tarehe 15 hadi 16.08.2018 Mkoani Geita pamoja na Maonesho ya Teknolojia ya Uchimbaji wa Madini yatakayofanyika kuanzia tarehe 24 hadi 29.09.2018.

Aidha, Mhe. Mhandisi Gabriel amefanya hamasa kubwa kwa kupita katika kila banda kwenye maonesho hayo kwa ajili ya kuunadi Mkoa wa Geita kwa wadau mbalimbali, jambo ambalo kwa namna moja ama nyingine limeongeza tija kwa Mkoa kwa wadau kufahamu mazuri ya Mkoa wa Geita.

Wafanya biashara na wawekezaji mnaalikwa kushiriki kikamilifu wakati wa jukwaa hilo la Biashara la Mkoa muda utakapofika lakini pia katika maonesho ya Teknolojia ya uchimbaji wa Dhahabu.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Shigela Awahamasisha Walimu Kutumia Benki ya NMB

    July 14, 2025
  • Dkt. Kijaji Azindua Chanjo ya Mifugo na Uvikwaji Hereni Kwa Ng'ombe Geita

    July 09, 2025
  • Epukeni Tabia ya Utoroshaji Mapato- RAS Geita

    July 01, 2025
  • Bukombe na Mbogwe Zapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

    June 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa