• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Sasa ni Mchakamchaka Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Geita.

Posted on: January 20th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amewataka watendaji wa serikali ndani mkoa huo kuhakikisha wanafanya kazi kwa kasi na kwa ufanisi lengo ikiwa ni kumaliza miradi yote inayoletewa fedha nyingi na serikali ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Hayo yameelezwa leo januari 20, 2022 na mkuu wa mkoa huyo wakati akifungua na kufunga kikao kazi kilichoandaliwa kujadili na kuweka mikakati mbalimbali ya mkoa juu ya kuimarisha miradi ya Mpango wa Kuboresha Elimu ya Sekondari Nchini (SEQUIP) kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa kilichowahusisha watendaji wa halmashauri kuweka huku akisisitiza mambo kadhaa ikiwemo kuhimiza wazazi kupeleka watoto shuleni, ukusanyaji wa mapato, usafi wa mazingira na mengineyo

“kwanza tuendelee kumshukuru mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazoendelea kuzitoa Geita na niwapongeze kwa utekelezaji wa ujenzi wa madarasa ambao tumeshiriki kutekeleza kwa kasi na kufanikisha wanafunzi kuanza shule kwa pamoja, lakini pia niwahimize juu ya kwenda mchakamchaka kwenye utekelezaji miradi mingine tuliyonayo, tuhimize wazazi kuwapeleka watoto shule, tukusanye mapato, tufanye usafi kwenye miji yetu lakini tujitahidi tusirudie makosa ya nyuma kwenye utekelezaji miradi inayokuja” alisema Mhe.Senyamule.

Kabla ya ufunguzi wa kikao hicho cha kuweka mikakati, katibu tawala mkoa wa geita Bw.Musa Chogero alisema, kikao hicho kimekuja wakati muafaka hivyobasi ni muhimu kwa watendaji kutambua ya kwamba Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan ametoa na anaendelea kutoa fedha nyingi ili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi, hivyo kuwasihi kutumia fursa hiyo kujipanga kutekeleza maelekezo na maagizo ya kikao hicho.

Nao wajumbe wa kikao hicho ambao pia ni watendaji wa serikali wameshukuru kwa maelekezo na kuahidi kuyatekeleza ili kuleta ufanisi kwa mkoa na taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa