• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mamlaka za Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Sensa si Mzaha, ni Maisha ya Watu, Tujiandae Kuhesabiwa-Asema RC Senyamule

Posted on: July 28th, 2022

Na Boazi Mazigo-Geita

Ikiwa zimesalia siku 27 kufikia usiku wa tarehe 23 Agosti, 2022, siku ya Sensa ya Watu na Makazi nchini Tanzania, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Geita Mhe.Rosemary Senyamule amekutana na viongozi na wawakilishi wa makundi maalum mkoani humo kwa lengo la kuwapa elimu ikiwa ni sehemu ya kufikisha hamasa ngazi ya chini kupitia wawakilishi ili kuhakikisha wananchi wote wa Mkoa wa Geita wanahesabiwa ili kuliwezesha taifa kupanga mipango yake.

Elimu hiyo imetolewa Julai 27, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Mwl.Nyerere EPZA Bombambili mjini Geita ambapo makundi ya viongozi wa dini, vyama rafiki vya siasa, viongozi wa machinga, bodaboda, Walemavu, kundi la mama Samia, n.k kwa pamoja wamhemihimizwa kutokuwaacha nyuma walevu kwenye zoezi hilo muhimu.

Akiongea wakati akifunga kikao hicho, Mhe.Senyamule amesema “sensa si jambo la mzaha, ni maisha ya watu, hivyo shime niwaombe viongozi na wawakilishi wa makundi mbambali ndani ya jamii, tumieni vikao, makanisa na misikiti waelezeni waumini na wananchi kushiriki zoezi hili muhimu, sense itafanya Geita ijulikane kimataifa”

RC Senyamule ameongeza kwa kusema, “tunaishukuru serikali inayoongozwa na Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Geita utakaowanufaisha wakazi wa Geita kwa miaka 30 na kupunguza changomoto iliyokuwepo, jambo ambalo limetokana na takwimu za nyuma, hivyo tunapohesabiwa tutajua mahitaji halisi”

“Nimalize kwa kuwakaribisha kushiriki mwaka mmoja wa hospitali ya rufaa ya kanda Chato ambayo inaadhimisha mwaka mmoja wa mafanikio ambapo huduma mbalimbali zinaendelea kutolewa na madaktari bingwa” alimaliza RC Senyamule.

Nao wawakilishi wa makundi maalum ya jamii kwa nyakati tofauti wamesema wapo tayari na kwamba wamepania kuhesabiwa na kuufanya mkoa uwe namba moja

Akiwasilisha mada kusu mamndalizi ya sensa, Ndg,Khalid Msabaha ambaye ni mtakwimu wa Mkoa wa Geita akitokea ofisi ya Takwimu ya Taifa amesema, kutakuwa na maeneo 2,612 ya kuhesabia watu na kutakuwa na makarani 5,204 siku hiyo, hivyo pamoja. 

Sensa kwa Maendeleo, Jiandae Kuhesabiwa



Matangazo

  • MATOEKEO YA KIDATO CHA SITA YATANGAZWA July 05, 2022
  • HOTUBA YA BAJETI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 June 01, 2022
  • BAJETI YA MKOA June 28, 2022
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Amemuapisha Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Staki Senyamule Tarehe 19 Mei 2021 May 19, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Ukiuza Toa Risiti, Ukinunua Dai Risiti-Asisitiza RC Shigela

    August 12, 2022
  • RC Shigela Akabidhi Pikipiki 8 CBWSOs Mkoani Geita, Aagiza Zitumike kwa Malengo Kusudiwa.

    August 11, 2022
  • RC na RAS Geita Wajitambulisha kwa Watumishi Wilayani Geita, Wasisitiza Kuinua Uchumi.

    August 11, 2022
  • RC na RAS Geita Wajitambulisha kwa Watumishi Wilayani Geita, Wasisitiza Kuinua Uchumi.

    August 11, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mwaliko Jukwaa la Fursa za Biashara Mkoani Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa